CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
Kwanza kabisa napenda kuto salamu zangu za dhati kwa wote member wa jukwaa hili, matumaini yangu ni kwamba wote tu wazima na tunaendelea na ujenzi wa taifa letu.
Pasipo kupoteza muda ngoja nijikite kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni wazi kila mtu anatambua kua kwa sasa dunia nzima inapita katika changamoto mbalimbali na changamoto hizi zimesababishwa na kuzuka kwa huu ugonjwa wa corona na athari zake zimejitokeza katika kila sekta lakini athari kubwa ni kua ugonjwa umesababisha vifo vya wapendwa wetu na pia vimeaharibu kwa kiasi kikiubwa uchumi wa kila nchi.
Ni kiludi katika kichwa cha hoja yangu hapo juu ni je sisi kama wa Africa tunaweza kupambana katika vita hii pasipo msaada kutoka umoja wa mataifa? Nimeamua kuuliza swali hili ili tu kuweza kupata maoni kutoka kwenu wadau. Kwani mimi nimekua na mashaka sana na huu umoja wa mataifa hasa linapokuja swala linavyo toa mahamuzi kwa hizi nchi za dunia ya tatu hususani sisi Africa.
Umoja wa mataifa kupitia mashirika yake mbalimbali yamekua na mahamuzi yanayotia mashaka sana kwa nchi maskini na mara nyingi umoja huu unashindwa kuchukua hatua kwa nchi za magharibi pale zinapokwenda kinyume na kanuni walizojiwekea, mfano mzuri ni mahakama ya umoja huu imekua ikilaumiwa sana kwa kuangalia sana hizi nchi maskini huku ikizikingia kifua nchi za magharibi, mfano mzuri ni raisi msataafu wa marekani Bwana Bush alipokua madarakani alihivamia nchi ya Iraq pasipo idhini ya umoja wa mataifa kwa madai nchi hiyo inamiliki silaha za nyukilia Kitu ambacho mpaka leo marekani aijaweza kuthibitisha kama walikuta silaha hizo za nyukilia, licha ya mamia ya watu kupoteza uhai wao lakini pia uchumi wa Iraq umeharibika na umoja wa mataifa aujachukua hatua yoyote ile kwa Bwana Bush
Tukirudi kwenye janga la corona tunaona shiraka la afya duniani WHO ambavyo limekua likitutia mashaka sana hasa kwa nchi zetu hizi za Africa na watu wanashindwa kutambua shirika hili limekua likitoa tahadhari au vitisho kwa Africa mahana kila kukicha linakuja na tamko jipya kiasi kwmba watu wanashindwa kuelewa washike lipi, na matamko yao mengi ni kama yanalenga kuogopesha watu na wala sio kutusaidia.
Hivi karibuni raisi wa madagasica katangaza dawa yake kua inatibu corona lakini shirika hili limekua la kwanza kutoa matamko ya kuipinga dawa hii na madai yao ni kua dawa hii inaweza kua na madhara kwa binadamu, hapa swali la kujiuliza dawa hii ilikua inatumika tangu zamani kutibu magonjwa mengine kama maralia na aikua na madhara kwa watumiaji iweje bahada ya kutangazwa kua inatibu corona ndio inahanza kutiliwa mashaka. Je inshu ni kwa kua imegunduliwa na Africa.
Na sio kwamba na ipigia promo dawa hii ila najaribu tu kufikiria je ni madawa mangapi shirika hili limetoa kibali kutumika kwa binadamu licha ya kua na madhara makubwa kwa binadamu kisa tu wagunduzi wake ni wazungu?
Binafisi mimi nahamini hakuna ugonjwa usio kua na tiba kila ugonjwa unatibika, sema kinachofanyika ni kutuaminisha kwamba kuna bahadhi ya magonjwa hayana tiba ili wafanye biashara, kwa ufupi hawa jamaa ni wataalamu wa kutengeneza matatizo na kuyatafutia ufumbuzi ili wafanye biashara Mfano mzuri ni computer wametengeneza kirusi kinachoweza kuharibu programu za computer then wakaja na solution la kupambana na virusi hivyo ambayo ni antviruse hizi zote ni mbinu za kibiashara.
Na hii corona nahisi mambo ndio yale yale wanangoja wangundue chanjo zao hata kama zikiwa na madhara WHO watapitisha kwa mikono miwili na nchi zote zitakiwa kutumia hiyo chanjo.
Ndio hapo najiuliza nchi zetu za Afrika kuna umuhimu wa kupambana na hili janga bila msaada wa umoja wa mataifa au tukubali kua bila wao hatuwezi kupamba na huu ugonjwa hivyo tufate kila mashariti wanayotuagiza?
Pasipo kupoteza muda ngoja nijikite kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni wazi kila mtu anatambua kua kwa sasa dunia nzima inapita katika changamoto mbalimbali na changamoto hizi zimesababishwa na kuzuka kwa huu ugonjwa wa corona na athari zake zimejitokeza katika kila sekta lakini athari kubwa ni kua ugonjwa umesababisha vifo vya wapendwa wetu na pia vimeaharibu kwa kiasi kikiubwa uchumi wa kila nchi.
Ni kiludi katika kichwa cha hoja yangu hapo juu ni je sisi kama wa Africa tunaweza kupambana katika vita hii pasipo msaada kutoka umoja wa mataifa? Nimeamua kuuliza swali hili ili tu kuweza kupata maoni kutoka kwenu wadau. Kwani mimi nimekua na mashaka sana na huu umoja wa mataifa hasa linapokuja swala linavyo toa mahamuzi kwa hizi nchi za dunia ya tatu hususani sisi Africa.
Umoja wa mataifa kupitia mashirika yake mbalimbali yamekua na mahamuzi yanayotia mashaka sana kwa nchi maskini na mara nyingi umoja huu unashindwa kuchukua hatua kwa nchi za magharibi pale zinapokwenda kinyume na kanuni walizojiwekea, mfano mzuri ni mahakama ya umoja huu imekua ikilaumiwa sana kwa kuangalia sana hizi nchi maskini huku ikizikingia kifua nchi za magharibi, mfano mzuri ni raisi msataafu wa marekani Bwana Bush alipokua madarakani alihivamia nchi ya Iraq pasipo idhini ya umoja wa mataifa kwa madai nchi hiyo inamiliki silaha za nyukilia Kitu ambacho mpaka leo marekani aijaweza kuthibitisha kama walikuta silaha hizo za nyukilia, licha ya mamia ya watu kupoteza uhai wao lakini pia uchumi wa Iraq umeharibika na umoja wa mataifa aujachukua hatua yoyote ile kwa Bwana Bush
Tukirudi kwenye janga la corona tunaona shiraka la afya duniani WHO ambavyo limekua likitutia mashaka sana hasa kwa nchi zetu hizi za Africa na watu wanashindwa kutambua shirika hili limekua likitoa tahadhari au vitisho kwa Africa mahana kila kukicha linakuja na tamko jipya kiasi kwmba watu wanashindwa kuelewa washike lipi, na matamko yao mengi ni kama yanalenga kuogopesha watu na wala sio kutusaidia.
Hivi karibuni raisi wa madagasica katangaza dawa yake kua inatibu corona lakini shirika hili limekua la kwanza kutoa matamko ya kuipinga dawa hii na madai yao ni kua dawa hii inaweza kua na madhara kwa binadamu, hapa swali la kujiuliza dawa hii ilikua inatumika tangu zamani kutibu magonjwa mengine kama maralia na aikua na madhara kwa watumiaji iweje bahada ya kutangazwa kua inatibu corona ndio inahanza kutiliwa mashaka. Je inshu ni kwa kua imegunduliwa na Africa.
Na sio kwamba na ipigia promo dawa hii ila najaribu tu kufikiria je ni madawa mangapi shirika hili limetoa kibali kutumika kwa binadamu licha ya kua na madhara makubwa kwa binadamu kisa tu wagunduzi wake ni wazungu?
Binafisi mimi nahamini hakuna ugonjwa usio kua na tiba kila ugonjwa unatibika, sema kinachofanyika ni kutuaminisha kwamba kuna bahadhi ya magonjwa hayana tiba ili wafanye biashara, kwa ufupi hawa jamaa ni wataalamu wa kutengeneza matatizo na kuyatafutia ufumbuzi ili wafanye biashara Mfano mzuri ni computer wametengeneza kirusi kinachoweza kuharibu programu za computer then wakaja na solution la kupambana na virusi hivyo ambayo ni antviruse hizi zote ni mbinu za kibiashara.
Na hii corona nahisi mambo ndio yale yale wanangoja wangundue chanjo zao hata kama zikiwa na madhara WHO watapitisha kwa mikono miwili na nchi zote zitakiwa kutumia hiyo chanjo.
Ndio hapo najiuliza nchi zetu za Afrika kuna umuhimu wa kupambana na hili janga bila msaada wa umoja wa mataifa au tukubali kua bila wao hatuwezi kupamba na huu ugonjwa hivyo tufate kila mashariti wanayotuagiza?