Dogo langu hapa amechaguliwa kwenda kusoma Degree program chuo kikuu kwa selection ya hii ya awamu ya pili kwa kozi ya education in science
Sasa wakuu ushauri wenu je aende tu akasome hiyo kozi au tumtafutie chuo Cha diploma kwa kozi za afya au engineering
Kutokana na kwamba dogo yeye malengo yake hayakuwa kusoma education
#Nawasilisha
Sasa wakuu ushauri wenu je aende tu akasome hiyo kozi au tumtafutie chuo Cha diploma kwa kozi za afya au engineering
Kutokana na kwamba dogo yeye malengo yake hayakuwa kusoma education
#Nawasilisha