rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,189
- 20,156
Umeelewa post yangu, nimesikia kwa maana inaweza kuwa kweli au sio kweli hiyo ni tetesiJina?
Umeelewa post yangu, nimesikia kwa maana inaweza kuwa kweli au sio kweli hiyo ni tetesiJina?
OK. Ndio ungemtaja jina tungeweza kutoa jibu.Umeelewa post yangu, nimesikia kwa maana inaweza kuwa kweli au sio kweli hiyo ni tetesi
Wanasema mke wake alimkimbia sababu ya madeni ya kamari hiyo story nilisikia miaka kumi iliyopitaOK. Ndio ungemtaja jina tungeweza kutoa jibu.
Izo codes ulizotumia sijamjua ni nani
Karume senior alikuwa na watoto wawili tu wa kiume. Amani alikuwa Rais wa Zanzibar na Ali aliwahi kuwa Balozi halafu akawa Waziri wakati wa Serikali ya Dr Sheni.Wanasema mke wake alimkimbia sababu ya madeni ya kamari hiyo story nilisikia miaka kumi iliyopita
Alilipwa ujira wake, akarudi kwao Mamluki yulepasco ungefafanua unamzungumzia Sheikh Abeid Aman Karume....yule Bwana aliyepewa Urais na Field Marshal John Okello baada ya kufanya Mapinduzi.....Zanzibar walipaswa kuwa na Okello Day....maskin Okello wamejaribu kumfuta lakin historia inakataa...haifutiki. Okello Zanzibar isingekuwa Huru bila wewe...Karume roho yako iwekwe mahal panapostahili...ulipaswa umshukuru Juma Okello....