johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Ninavyofahamu kwa utamaduni wa CCM Rais Samia muhula wake utakamilika 2030.
Sasa kufuatia uzushi wa kile " kigazeti" ni kama kuna watu ndani ya CCM wana mipango miovu ya kutaka kugombea nje ya utaratibu wa chama.
Nakazia tu 2025 itoke fomu moja tu kama ilivyokuwa 2020.
Mungu ni mwema wakati wote!
Sasa kufuatia uzushi wa kile " kigazeti" ni kama kuna watu ndani ya CCM wana mipango miovu ya kutaka kugombea nje ya utaratibu wa chama.
Nakazia tu 2025 itoke fomu moja tu kama ilivyokuwa 2020.
Mungu ni mwema wakati wote!