ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,219
Mkuu mimi nakuunga mkono hii inapaswa imfikie mtoa mada ahahahahhahaha ata mimi nilikuwa nampingaAlison Becker 13 alichukua champions league,, akiwa na namba 13 ,, mwaka jana akiwa na liver
Usiwe mtumwa sna wa Mambo ya nyota,, numbers,, rangi ect ,, hayana asilimia zote ya tafsiri yko katika Maisha , ni prediction kuna muda inakuwa kweli na muda si kweli!!
Belive in God who is Creater of Everything!! Universe ect!
Yeye ndiye anaepanga! Na Muamuzi wa mwisho wa Mambo yote.
Sent using Jamii Forums mobile app