Je, ‘’15 minutes of fame’’ za Fatma Karume zimegharimu biashara za IMMMA Advocates na TLS?

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,172
23,975
Kwenye nchi zetu zinazoendelea huwezi kuepuka ukweli kuwa serikali ndio taasisi pekee ambayo matumizi yake ya pesa ndio kipato kikubwa kwa makampuni makubwa ya huduma na kwa mantiki hii huwezi kufanya kazi za uwakili ambazo zinahusu makampuni makubwa ya ndani na kimataifa ambayo mdawi wake mkubwa ni serikali halafu ukaanza kuishambulia serikali kisiasa ukitegemea mafanikio kibiashara. Ni lazima utapoteza moja au yote. Huu ni ukweli ambao wenye kujua umuhimu wa biashara zao za huduma wanaujua na huufanyia kazi.

IMMMA Advocates ni kampuni kubwa ambayo niya vigogo ndani ya CCM ambao mizizi yao iko pia serikalini na kwenye taasisi ya mahakama. Kwa mantiki hii hawawezi kukubali kampuni yao kugonganishwa kisiasa na serikali waziwazi.

Alichokuwa anafanya Fatma Karume hakina tofauti na kujipiga risasi mguuni bila kujua huku akishangiliwa na watu wanaodhani anachofanya ni kuwaburudisha kwenye mitandao huku kampuni ya IMMMA Advocates ikipata matatizo kibiashara.

Badala ya kutumia Urais wa TLS kama daraja la kuiunganisha IMMMA Advocates kibiashara badala yake ametumia kama uzio wa kuitenganisha na serikali. Hata Urais wake wa TLS umeifanya TLS kuwa mbali na taasisi ya mahakama badala ya kuwa karibu zaidi.

Washirika wenzake wamemuomba achague moja kati ya mawili kama anataka aendelee kuwa mshirika wa IMMMA Advocates. Kama anataka aendelee na uanaharakati kama Rais wa TLS au aachane na uanaharakati ndani ya TLS.

Kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ilipigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Urais wa Fatma Karume aliposema, ‘’Chama Cha Wanasheria Nchini (TLS) kuacha kujishirikisha na masuala ya kisiasa na uanaharakati na iwapo watakiuka hilo Mahakama haitowapa ushirikiano’’.

Kauli ya Jaji Mkuu ilihitimishwa pale ambapo kwa mara ya kwanza TLS hawakupewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini. Hiki kilikuwa ni kitendo cha kuwafungua macho wanachama wa TLS kuhusu mstakabali wake nchini kama mdau wa sheria. Hii ilipelekea hata jina lake kutopendekezwa na wanachama wa TLS kuwa mgombea Urais.

Yaliyomkuta Fatma Karume yanatoa angalizo kuwa huwezi kuukata mti alioukalia mwenyewe maana ukianguka unaanguka na wewe! Fatma alikuwa anakata mti wa IMMMA Advocates na TLS kwa kujua au bila kujua!

Kuna wengine watasema, ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai'' hasa kama kuna mlaji!
 
Kwenye nchi zetu zinazoendelea huwezi kuepuka ukweli kuwa serikali ndio taasisi pekee ambayo matumizi yake ya pesa ndio kipato kikubwa kwa makampuni makubwa ya huduma na kwa mantiki hii huwezi kufanya kazi za uwakili ambazo zinahusu makampuni makubwa ya ndani na kimataifa ambayo mdawi wake mkubwa ni serikali halafu ukaanza kuishambulia serikali kisiasa ukitegemea mafanikio kibiashara. Ni lazima utapoteza moja au yote. Huu ni ukweli ambao wenye kujua umuhimu wa biashara zao za huduma wanaujua na huufanyia kazi.

IMMMA Advocates ni kampuni kubwa ambayo niya vigogo ndani ya CCM ambao mizizi yao iko pia serikalini na kwenye taasisi ya mahakama. Kwa mantiki hii hawawezi kukubali kampuni yao kugongamishwa kisiasa na serikali waziwazi.

Alichokuwa anafanya Fatma Karume hakina tofauti na kujipiga risasi mguuni bila kujua huku akishangiliwa na watu wanaodhani anachofanya ni kuwaburudisha kwenye mitandao.

Badala ya kutumia Urais wa TLS kama daraja la kuiunganisha IMMMA Advocates badala yake ametumia kama uzio wa kuitenganisha na serikali. Hata Urais wake wa TLS umeifanya TLS kuwa mbali na taasisi ya mahakama badala ya kuwa karibu zaidi.

Washirika wenzake wamemuomba achague moja kati ya mawili kama anataka aendelee kuwa mshirika wa IMMMA Advocates. Kama anataka aendelee na uanaharakati kama Rais wa TLS au aachane na uanaharakati ndani ya TLS.

Kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ilipigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la uenyekiti wa Fatma Karume aliposema, ‘’Chama Cha Wanasheria Nchini (TLS) kuacha kujishirikisha na masuala ya kisiasa na uanaharakati na iwapo watakiuka hilo Mahakama haitowapa ushirikiano’’.

Kauli ya Jaji Mkuu ilihitimishwa pale ambapo kwa mara ya kwanza TLS hawakupewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini. Hiki kilikuwa ni kitendo cha kuwafungua macho wanachama wa TLS kuhusu mstakabali wake nchini kama mdau wa sheria. Hii ilipelekea hata jina lake kutopendekezwa na wanachama wa TLS kuwa mgombea Urais.

Yaliyomkuta Fatma Karume yanatoa angalizo kuwa huwezi kuukata mti alioukalia mwenyewe maana ukianguka unaanguka na wewe! Fatma alikuwa anakata mti wa IMMMA Advocates!

Kuna wengine watasema, ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai''.
All this is because we are fighting the dictator, violation of human rights, etc. Fatuma yuko sahihi! Had it not been for the dictatorial regime current undeminig Tanzania freedom , all this would not have happened! TUNAPIGANA NA IDD AMIN, MUUAJI!
 
Kwenye nchi zetu zinazoendelea huwezi kuepuka ukweli kuwa serikali ndio taasisi pekee ambayo matumizi yake ya pesa ndio kipato kikubwa kwa makampuni makubwa ya huduma na kwa mantiki hii huwezi kufanya kazi za uwakili ambazo zinahusu makampuni makubwa ya ndani na kimataifa ambayo mdawi wake mkubwa ni serikali halafu ukaanza kuishambulia serikali kisiasa ukitegemea mafanikio kibiashara. Ni lazima utapoteza moja au yote. Huu ni ukweli ambao wenye kujua umuhimu wa biashara zao za huduma wanaujua na huufanyia kazi.

IMMMA Advocates ni kampuni kubwa ambayo niya vigogo ndani ya CCM ambao mizizi yao iko pia serikalini na kwenye taasisi ya mahakama. Kwa mantiki hii hawawezi kukubali kampuni yao kugongamishwa kisiasa na serikali waziwazi.

Alichokuwa anafanya Fatma Karume hakina tofauti na kujipiga risasi mguuni bila kujua huku akishangiliwa na watu wanaodhani anachofanya ni kuwaburudisha kwenye mitandao.

Badala ya kutumia Urais wa TLS kama daraja la kuiunganisha IMMMA Advocates badala yake ametumia kama uzio wa kuitenganisha na serikali. Hata Urais wake wa TLS umeifanya TLS kuwa mbali na taasisi ya mahakama badala ya kuwa karibu zaidi.

Washirika wenzake wamemuomba achague moja kati ya mawili kama anataka aendelee kuwa mshirika wa IMMMA Advocates. Kama anataka aendelee na uanaharakati kama Rais wa TLS au aachane na uanaharakati ndani ya TLS.

Kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ilipigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la uenyekiti wa Fatma Karume aliposema, ‘’Chama Cha Wanasheria Nchini (TLS) kuacha kujishirikisha na masuala ya kisiasa na uanaharakati na iwapo watakiuka hilo Mahakama haitowapa ushirikiano’’.

Kauli ya Jaji Mkuu ilihitimishwa pale ambapo kwa mara ya kwanza TLS hawakupewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini. Hiki kilikuwa ni kitendo cha kuwafungua macho wanachama wa TLS kuhusu mstakabali wake nchini kama mdau wa sheria. Hii ilipelekea hata jina lake kutopendekezwa na wanachama wa TLS kuwa mgombea Urais.

Yaliyomkuta Fatma Karume yanatoa angalizo kuwa huwezi kuukata mti alioukalia mwenyewe maana ukianguka unaanguka na wewe! Fatma alikuwa anakata mti wa IMMMA Advocates!

Kuna wengine watasema, ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai''.
Huyu mama alikua anafurahia vigeregere vya mitandaoni, acha afe kibudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Africa,
Ukiamua kuwa Mfanyabiasha achana na siasa za Upinzani....

Ukiaamua kuwa Mpinzani au mwanaharakati, achana na Biashara.....

Wengi hawaelewi haya,.

Nikiwa hapa JF, namsakama sana Jiwe na CCM....

Lkn huku Nje ni Kada Ndakindaki......


Kwenye Pesa Mangi nitakuwa mnafki mpaka kufa kwanguuuu....

Sitaki masihara bwasheee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliousema ni ukweli ambao wenye fikra finyu hawawezi kuuelewa vizuri.
 
Kwenye nchi zetu zinazoendelea huwezi kuepuka ukweli kuwa serikali ndio taasisi pekee ambayo matumizi yake ya pesa ndio kipato kikubwa kwa makampuni makubwa ya huduma na kwa mantiki hii huwezi kufanya kazi za uwakili ambazo zinahusu makampuni makubwa ya ndani na kimataifa ambayo mdawi wake mkubwa ni serikali halafu ukaanza kuishambulia serikali kisiasa ukitegemea mafanikio kibiashara. Ni lazima utapoteza moja au yote. Huu ni ukweli ambao wenye kujua umuhimu wa biashara zao za huduma wanaujua na huufanyia kazi.

IMMMA Advocates ni kampuni kubwa ambayo niya vigogo ndani ya CCM ambao mizizi yao iko pia serikalini na kwenye taasisi ya mahakama. Kwa mantiki hii hawawezi kukubali kampuni yao kugongamishwa kisiasa na serikali waziwazi.

Alichokuwa anafanya Fatma Karume hakina tofauti na kujipiga risasi mguuni bila kujua huku akishangiliwa na watu wanaodhani anachofanya ni kuwaburudisha kwenye mitandao.

Badala ya kutumia Urais wa TLS kama daraja la kuiunganisha IMMMA Advocates badala yake ametumia kama uzio wa kuitenganisha na serikali. Hata Urais wake wa TLS umeifanya TLS kuwa mbali na taasisi ya mahakama badala ya kuwa karibu zaidi.

Washirika wenzake wamemuomba achague moja kati ya mawili kama anataka aendelee kuwa mshirika wa IMMMA Advocates. Kama anataka aendelee na uanaharakati kama Rais wa TLS au aachane na uanaharakati ndani ya TLS.

Kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma ilipigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la uenyekiti wa Fatma Karume aliposema, ‘’Chama Cha Wanasheria Nchini (TLS) kuacha kujishirikisha na masuala ya kisiasa na uanaharakati na iwapo watakiuka hilo Mahakama haitowapa ushirikiano’’.

Kauli ya Jaji Mkuu ilihitimishwa pale ambapo kwa mara ya kwanza TLS hawakupewa nafasi ya kutoa hotuba kwenye maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini. Hiki kilikuwa ni kitendo cha kuwafungua macho wanachama wa TLS kuhusu mstakabali wake nchini kama mdau wa sheria. Hii ilipelekea hata jina lake kutopendekezwa na wanachama wa TLS kuwa mgombea Urais.

Yaliyomkuta Fatma Karume yanatoa angalizo kuwa huwezi kuukata mti alioukalia mwenyewe maana ukianguka unaanguka na wewe! Fatma alikuwa anakata mti wa IMMMA Advocates!

Kuna wengine watasema, ''hakuna mkate mgumu mbele ya chai''.
Kwenye dunia ya 'u-mafia' unachosema kina chembe chembe za ukweli. Vinginevyo huyu mama anastahili kuitwa jasiri.
 
All this is because we are fighting the dictator, violation of human rights, etc. Fatuma yuko sahihi! Had it not been for the dictatorial regime current undeminig Tanzania freedom , all this would not have happened! TUNAPIGANA NA IDD AMIN, MUUAJI!
If she is right then take her position!

Kuna vitu ambavyo huwezi kuvibadili sanasana vitakubadilisha wewe. You can't fight any battle!

Unayesema yuko right kwa sasa hata jina lake limewekwa kapuni kwenye Urais wa TLS na wanasheria wenzake.

Kwenye kampuni ameambiwa achague moja. Uwakili au uanaharakati.
 
Aibu zaidi kwake ni kupaka matope TLS kwa kutaka kuifanya ikubaliane na masuala ya Ushoga
Nadhani hoja ya msingi ni kujiuliza. Amepata faida au hasara kiasi gani kama member wa IMMMA Advocates na TLS President katika marumbano ya kisiasa na serikali?
 
Aibu zaidi kwake ni kupaka matope TLS kwa kutaka kuifanya ikubaliane na masuala ya Ushoga
wewe ni kati ya watanzania wajinga kabisa kupata kutokea hivi mtu akitetea uhiru wa faragha anatetea ushoga? kwa hiyo na madaktar wanaohifadhi siri za wagonjwa wa HIV nao wanasambaza ukimwi!
haki ya usiri /privace ipo kikatiba kwakuwa mmezoea kukenua meno katiba inapovunjwa ndo mana mnaona kawaida tu
 
MsemajiUkweli unaweza kuwa msemaji mkweli ila hujui inachoitendea CCM na serikali inayoiongoza. Yaani hapa unathibitisha dhana iliyojengeka kwa kasi sana kwenye jamii kwamba serikali ya CCM ni serikali dhalimu; kwamba kama hauna uhusiano mzuri na CCM hata kama unafuata sheria basi hutafanikiwa; kwamba utahujumiwa tu hata kama unazingatia sheria za nchi. Kwa maneno mengine, unathibitisha ufisadi wa CCM na serikali yake. Inasikitisha.
 
wewe ni kati ya watanzania wajinga kabisa kupata kutokea hivi mtu akitetea uhiru wa faragha anatetea ushoga? kwa hiyo na madaktar wanaohifadhi siri za wagonjwa wa HIV nao wanasambaza ukimwi!
haki ya usiri /privace ipo kikatiba kwakuwa mmezoea kukenua meno katiba inapovunjwa ndo mana mnaona kawaida tu
Jamaa huwa jinga sana kama ID yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sikutegemea kama ungekuja na hoja finyu kama hizi.wewe kama watu wachache wa ccm ambao angalau wamebakiwa na akili hata za kuchambua mambo kidogo sana.Lakin leo umezingua.
1.alichokuwa akikifanya Karume hakina uhusiano wowote na kampuni hizo za mawakili.Yeye alifanya hicho kama "binafsi"
2.Unatuaminisha kuwa ili ufanikiwe lazima ujihusishe na ccm moja kwa moja hiyo ni nonsense.wapo kina Manji ,Mo, na wengine kibao washaonja joto la jiwe la unafiki wa ccm.
2.Alichokuwa akikifanya Karume ni kweli tupu hivyo kweli haiwezi kuzidiwa na uongo,unafiki na uzezeta wa ccm kama wanavyofanya akina Mtatiro,kafulila na wengine.

3.TLS kumweka kando urais si sababu ya kisiasa,hizo ni hisia zako.TLS wanafanya uchaguzi after 1 year naye ashatimiza majukumu yake amekamilisha alichoagizwa.katika kipindi cha miaka 3 TLS imekuwa haitishiki na vitisho vya walioolewa na mhimili wa serikali hasa mahakama na bunge.Imejitegemea kama katiba inavyotaka.
4.Seikali ikitaka kila taasisi na chombo na kila mtu awe na mawazo sawa na serikali basi Maendeleo tutasikia kwenye bomba.Mungu aliumba mimea ya aina mbalimbali ipendezeshe dunia.kuna mingine ina rangi nzuri lakini ni sumu hatari.Be careful na lichama lenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom