Kuna jina limekuwa likirushwa rushwa kwenye mazungumzo juu ya raia mmoja wa Kiganda ambaye anakwenda kwa kutumia initials za "JB". Does anybody know who is he and what is he doing in Tanzania na kama in anyway shape or form anaweza kuwa ni tatizo kwa Tanzania?
Tusker Bariiiidi,
I think ndiye huyu tulikuwa tunampigia story; unafahamu JB inasimama badala ya nini?
Hapa ndipo ninapoukumbuka ule mfano maarufu wa Baba wa Taifa kuhusu mashoka na Misitu. Miti midogo ilipoingiwa hofu kwa kuyaona mashoka yakija, ile mikubwa ikauliza "Wenzetu" wapo? Bila "Wenzetu" kama wewe mnaotupiwa makombo wageni wasingeifanya hii nchi shamba la bibi.Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.
Mwanakijiji habari yako haijakamilika kwa uwa inaacha maswali mengi kuliko majibu, na umeiandika katika lugha ya kijiweni kwa mimi nasikitika kuiita habari hiyo ni majungu na siko tayari kuchangia upuuzi huo zaidi ya kukuambia tumia lugha fasaha kuwasilisha usemacho kama hujui kiswahili andika hicho kiingereza chako na kama hujui kiingereza fasaha andika kiswahili fasaha.
60146 | JB VENTURE SOLUTIONS LIMITED | 27/04/2007 | |
60259 | JB FLORA LIMITED | 08/05/2007 | |
62598 | JB LAB MAINTENANCE LTD | 18/10/2007 | |
66328 | JB TRANSPORTES AND TOURS OPERATORS CO LIMITED | 02/07/2008 | incorporation |
66875 | JB FINANCIAL SUPPORT LIMITED | 04/08/2008 | |
67500 | JB ELECTRONICS & GENERAL TRADERS CO. LIMITED | 16/09/2008 | incorporation |
67801 | JB NTIRUGELEGWA CO. LIMITED | 07/10/2008 | incorporation |
114918 | JB INDEPENDENT | 24/09/1997 | incorporation |
115248 | JB MODERN ENTERPRISES | 27/10/1997 | incorporation |
73419 | JB HOSPITALITY LIMITED | 28-Oct-09 | incorporation |
78202 | JB ADVERTISE & PROMOTION CO. LIMITED | 26/08/2010 | incorporation |
Mzee Mwanakijiji,
Kwa ufupi huyu bwana ni mganda na alikuwa mwanajeshi wakatofautiana na Museveni akaja hapa Tanzania na kuishi kwa muda na badaye alikwenda Ulaya akafanya biashara zake mambo hayakwenda sawa na akarudi tena Tanzania na ndipo akapata mwanamke wa kihaya akamuoa na ndiye wanaye mpaka sasa.
Ana pesa nyingi sana ni mfanya biashara, hizi hbr ni kutoka kwa mtu wa ndani ya familia, na huo ndo ukweli
shida yako ni kasi ya kumiliki ama uhalali wa umiliki?Inaonekana umeathiriwa na snail-pace attitude ya Kitanzania,ile ya mtanzania kununua kiwanja then anakaa miaka kumi ndio anaweka msingi.Waganda wanafanya kazi na wame-embrace ujasiriamali kwa moyo wa ujasiri na bidii.Hapa nilikuwa namtofautisha JB na wale Wafanyakazi lukuki waliopo nchini kinyume cha sheria!
Kuhusu Magumashi sina uhakika ila ukiangalia kasi ya kumiliki Chain stores na ile hotel iliyokuwa Paradise... lazima kutakuwa na namna!
Ujinga kama huu wako ndio janga halisi la kitaifa-watu kupenda uzushi au ku-conclude mambo bila hoja au ushahidi wowote!JB(ingawa simjui) ni janga la taifa kivipi?Halipi kodi?Yeye ndie anayefanya sisi tusifanye kazi na kuishia kuimba nyimbo za ufisadi na freemason?Kuna mtanzania amezuiliwa kufanya biashara Uganda?Tatizo letu ni elimu ya kukariri na kujibu mitihani ya darasani tu.Huu ndio utandawazi uliokariri darasani,watu wanazunguka dunia nzima kutafuta business opportunities.Acha JB afanye kazi huku sisi tukiendeleza porojo zetu za kuogopa kujiunga na EAC kwa sababu ya uvivu wetu.Unamwita JB malaya na kusahau kuwa kama ni umalaya si anaufanya na Watanzania wenzetu,kwa nini tusiwalaume hao watanzania wenzetu,let's deal with our own failures first.JB ni janga kwa taifa hili....mpeni muda kidogo tu you will prove this..... mbali na hayo mambo ya down to earth ni mzinzi sana na anaharibu sana mabinti pale Quality Centre
Mkuu JB inaelekea anakwepa kodi Kama baadhi ya wahindi
Mzee Mwanakijiji,
Mr Justus Baguma, a Ugandan entrepreneur in Tanzania, owns the JB Belmont, Savannah and some shops at Quality Centre and has also been elected the chairman of the Ugandan Community in Tanzania.
He is a self-proclaimed self made man and attributes his success to hard work... Whether "hard work" means "trouble for Tanzania" I don't know....
Tatizo sisi Watanzania ni masikini sana halafu wengi wetu ni watumwa wa kiakili wamezoea lazima tajiri hawe Mzungu au Muarabu.
Bob Justus Baguma ni tajiri mkumbwa sio Tanzania tu mpaka UK kwao Uganda pia ana hotel nyingi tu za kitalii, Bob Justus Baguma ni Mkurugenzi wa JB Beltont.
Uingereza kuna kampuni zake pia kuna ARMSTONE LIMITED, EORO-AFRO CONSUMERS LIMITED.
JB saizi ni mwenyekiti wa jumuiya ya waganda wanaoishi Tanzania, JB ni kichwa kaenda shule ana Masters Degree in business kasoma UK.
Huyu jamaa ni mtu makini sana.