Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umechangia?hayatuhusu kumbe jide hana akili eeh
Principle za maisha yako hazifanani na mwenzako,kila mtu anaishi anavyojisikia!Wewe ndio unaonekana mpuuzi kulazimisha afanye kila utakacho weweMtu akisha move on ana haja ya kuyaonyesha hadharani hayo makaratasi kweli?
Hahaaaa akili za baadhi ya watu huwa zipo makalioni!!!!
Talk about [not] taking your own advice
Hahahaaa...sasa mimi nimemlazimisha nani afanye nitakacho mimi?Principle za maisha yako hazifanani na mwenzako,kila mtu anaishi anavyojisikia!Wewe ndio unaonekana mpuuzi kulazimisha afanye kila utakacho wewe
Hata huelewi ulichochangia,kama umemtukana mtu kwa kufanya kile kisicho sawa na mtazamo wako,hapo unakuwa unafanya nn?Hahahaaa...sasa mimi nimemlazimisha nani afanye nitakacho mimi?
Nimemlazimisha wapi?
Na ni nani huyo niliyemlazimisha?
That thing is very personal....why sharing with the public? Did we engineer their marriage in the first place? Kumuibia mtu mme sio tatizo? Kaazi kweli kweliMtu akisha move on ana haja ya kuyaonyesha hadharani hayo makaratasi kweli?
Hahaaaa akili za baadhi ya watu huwa zipo makalioni!!!!
Talk about [not] taking your own advice
Dada yangu, mwanaume ambaye hakuheshimu unaweza kufanya jambo lolote.hayatuhusu kumbe jide hana akili eeh
Wewe ndo hujaelewa ulichokisoma!Hata huelewi ulichochangia,kama umemtukana mtu kwa kufanya kile kisicho sawa na mtazamo wako,hapo unakuwa unafanya nn?
Umegundua makosa yako ndio maana umejibu neno kama neno na sio concept
Kati ya miaka ambayo nimemshusha vyeo jide ni mwaka huuu
Hongera Jide kwa kufanya kile moyo unapenda.
Kiki za kufungia mwaka hizo.That thing is very personal....why sharing with the public? Did we engineer their marriage in the first place? Kumuibia mtu mme sio tatizo? Kaazi kweli kweli