Jaydee afunga mwaka kwa kuonyesha talaka hadharani

idawa

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
25,284
38,305
b9dcf3a723695562528f058fc63d2def.jpg

c73cbce8c83c9cccbc819388e74f43f1.jpg

Hongera Jide kwa kufanya kile moyo unapenda.
 
ila kwa miaka 9, amekoma ubishi. ameumiza moyo, adhabu tosha ya kuiba wake za watu. alipora ndoa ya mwenzake akajaribu kuipalilia kwa miaka 9 akaishi kwa machungu na majuto hadi alipoachia. anatapatapa tu na anayemtumia kwa kimuziki.wanawake mjifunze.
 
Wanaotokwa mapovu humu Ni wanaume wenzangu haahahha jamani tuvumilie tu, namuunga mkono jide huo ni ujasiri. Na hakumuiba gadner sbb siyo zombie wa kupelekesshwa, he followed his heart at that particular time.
 
Andika unachotaka ila Mungu achunguzaye mioyo ndo atakushughulikia.
Tutakuona hapa hapa
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom