cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,522
- 137,147
Na mie nahitaji kujua hili.Je rihanna walikuwa na mahusiano kweli
Na mie nahitaji kujua hili.Je rihanna walikuwa na mahusiano kweli
unaanzaje kutubu mzee..... ukitubu maana yake masela wako tunaokutunzia siri wote hatuaminiki tena kwa shemMimi binafsi sio honest kivile kwa Mama Gaude wangu, sema ninachofanya siendekezi Sana mpaka akashtukia. Wazee inabidi tutumie mahesabu ya hali ya juu, yaani unapiga unaondoka usitake kusikilizia utamu, ni noma. Halafu kitu kingine hata machale yanamcheza never confess kikao cha mabaharia kitakutenga.
WAHUNI NGAPI HIYO? hahahahahhaaIt wasnt me- Shaggy(2002)
Hata ukamatwe juu ya kiuno usije thubutu kukiri😁😁
kwani papi si umeoa wewe?Nampenda sana rihanna,lakini beyonce ananichanganya sana hasa yale macho yake..yaani ana macho flani hivi akikuangalia yaani yapo kama makengeza yaani dah beyonce ana macho flani hivi amaizing
ni muda.... ila watu hawajui chanzo ni nini..... visa vinaendelea, tazama video ya jay z FAMILY FEUDNilidhani hivi karibuni
TUTALIFUATILIAJe rihanna walikuwa na mahusiano kweli
WAHUNI NGAPI HIYO? hahahahahhaa
Usifukue makaburi, ujue Beyonce yupo humu Jf bhana.TUTALIFUATILIA
unaanzaje kutubu mzee..... ukitubu maana yake masela wako tunaokutunzia siri wote hatuaminiki tena kwa shem
HAHAHAHAHHAAUsifukue makaburi, ujue Beyonce yupo humu Jf bhana.
Na ulipokua unaaga unakuja kwangu (kwa mwanao) wife anajua ulikua unaenda wapi.... na nilikutetea aliponipigia simuNdio, kuna ile inaitwa 'brothers code'. Yaani ukishatubu umewamewatia majaribuni wote, waliokuwepo na wasiokuwepo.
3:16 mstari wa nane na tisaWAHUNI NGAPI HIYO? hahahahahhaa
Na ulipokua unaaga unakuja kwangu (kwa mwanao) wife anajua ulikua unaenda wapi.... na nilikutetea aliponipigia simu
Hahaa ... Hizo ni kick tu mkuu hao ni watu wa ku create matukio ili wapige pesaNdio hapo, kinadada mkae mkijua kama Beyonce yamemkuta hayo wewe Mwanajuma wa Mwananyamala itakuje? Sisi wanaume mtuache tu hivihivi.
Ukiwa na hela kwanza ukicheat baba mkwe namfokea mtoto wake kwa kuws mzembe hadi anasababisha unatoka nje ya ndoa.....Wanyamwezi bana.
Yaani una cheat mkeo,unapigwa makofi na shemjo yako wa kike,sijui bongo ingekuwaje maana shemeji naye angeshaliwa.
Jigga ni kitombi rihanna alishamla zamani sanaJe rihanna walikuwa na mahusiano kweli
😀😀Wanyamwezi bana.
Yaani una cheat mkeo,unapigwa makofi na shemjo yako wa kike,sijui bongo ingekuwaje maana shemeji naye angeshaliwa.
Ndio hapo, kinadada mkae mkijua kama Beyonce yamemkuta hayo wewe Mwanajuma wa Mwananyamala itakuje? Sisi wanaume mtuache tu hivihivi.