JAY Z: Malumbano ya familia/ Kumpiga kaka yake RISASI / Usaliti kwa Beyonce/ Msamaha na Funzo kwa mabaharia wote

Mimi binafsi sio honest kivile kwa Mama Gaude wangu, sema ninachofanya siendekezi Sana mpaka akashtukia. Wazee inabidi tutumie mahesabu ya hali ya juu, yaani unapiga unaondoka usitake kusikilizia utamu, ni noma. Halafu kitu kingine hata machale yanamcheza never confess kikao cha mabaharia kitakutenga.
unaanzaje kutubu mzee..... ukitubu maana yake masela wako tunaokutunzia siri wote hatuaminiki tena kwa shem
 
Ndio, kuna ile inaitwa 'brothers code'. Yaani ukishatubu umewamewatia majaribuni wote, waliokuwepo na wasiokuwepo.
Na ulipokua unaaga unakuja kwangu (kwa mwanao) wife anajua ulikua unaenda wapi.... na nilikutetea aliponipigia simu
 
Na ulipokua unaaga unakuja kwangu (kwa mwanao) wife anajua ulikua unaenda wapi.... na nilikutetea aliponipigia simu


Kuna mwanangu mmoja alinitia majaribuni kihivyo, mkewe anamtafuta hata kwenye simu hapatikani, baadae kwenye maelezo ananijumuisha na mimi. Mkewe ambaye sasa ni x-wife mpaka leo anaiona nahusika kumbe sina makosa yoyote. Washikaji wengine mambo yao sio kabisa.
 
Beyonce na kuimba kote kule sijui "single ladies", me my self and I", "irreplaceable" kumbe na yeye anachezeshewa racket na mzee baba.

Ila kwa nature ya wanaume Jay Z najua anakosa sana amani.... Sababu mwanaume ukiwa na pesa halafu uwe na mwanamke anakukazia hataki uende toilet pekee yako daaah unakosa raha za dunia pesa zinakuwa hazina kazi.
 
Back
Top Bottom