aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,627
- 3,570
Wakizungumza na mzee wajikoni blog wamedai kipindi walipotimuliwa na majani na kuhamia kwa jaya dee na gadner kupitia kampuni yao ya jag waliwanyonya sana kwani pamoja na album yao ya taswira kuuza sana waliambulia milioni 2 kila mmoja
Source mzee wa jikoni
Source mzee wa jikoni