JATU ni Mr Kuku mwingine, ni swala la muda tu

JATU Plc imefikia leo tar 9 Sep 2021 Shs 940 kwa hisa moja. Kutokea ile bei waliotumia kufanya listing ya Shs 500 kwa hisa.

Kwa ufupi, kama ulikuwa na Shs 20,000,000 benki imetulia mwezi wa 6 au wa 7. Ukajipiga kununua shares 40,000 kwa Shs 500. Leo ukiamua kuziuza unapata cash money Shs 37,600,000 (yani 40,000 x Shs 940).

Profit yako ni Shs 17,600,000 ambayo hujaitolea hata tone la jasho. Ni balaa tupu.


IMG_9155.png
 
JATU Plc imefikia leo tar 9 Sep 2021 Shs 940 kwa hisa moja. Kutokea ile bei waliotumia kufanya listing ya Shs 500 kwa hisa.

Kwa ufupi, kama ulikuwa na Shs 20,000,000 benki imetulia mwezi wa 6 au wa 7. Ukajipiga kununua shares 40,000 kwa Shs 500. Leo ukiamua kuziuza unapata cash money Shs 37,600,000 (yani 40,000 x Shs 940).

Profit yako ni Shs 17,600,000 ambayo hujaitolea hata tone la jasho. Ni balaa tupu.


View attachment 1930961
Wanunuzi kwa bei hiyo wanatoka wapi
 
Mwaka jana nilipitia mchakato wao wote, kuanzia kujiunga mpaka mwisho. Nikagundua hawa jamaa ni "wezi wajanja".

Nikisema "wezi wajanja" namaanisha kwamba wao wanakuibia kwa kukuongezea "gharama" za kilimo kuanzia kujiunga nao, kukukodishia shamba, kukulimia, kukutunzia yaani mchakato mzima halafu mazao wananunua wenyewe kwa bei ya kukupiga. Mwishoni unaletewa kafaida kiduchu sana.

Nikaamua kufanya utafiti wangu binafsi na kugundua kwamba ukilima mwenyewe unapata faida kubwa sana ili mradi tu uwe na muda na ufuate utaalamu wa kilimo.

Kilimo kinahitaji muda na close supervision. Kama unao muda wa kutosha kilimo kinalipa mbaya sana.

Sasa wanaopigwa na JATU ni wale watu ambao wanapesa za kuwekeza kwenye kilimo lakini hawana muda wa kusimamia mashamba. Hao ndiyo JATU inawalenga na wanapigwa kweli kweli siyo mchezo.

JATU hawakupigi mazima bali wanakuletea faida ndogo sana tena sana. Mwisho wa siku wao ndiyo wanafaidika zaidi.
Akili kumkichwa.
Wanakulazimisha kununua mazao kilo 100 hadi 200. Ukishamaliza kununua, wakivuna mazao huwezi kulipwa hata ufanyeje. Watakuzungusha mpaka utachoka.

Taratibu zao, wao pekee ndo wanajiuzia mazao kwa bei ya kutupwa. Wakishanunua kwako, wanakulazimisha kukuuzia kwa bei karibu mara mbili ya ile walonunua kwako.

Wakigundua kwamba unahitaji pesa zako hili utoke, faida yako wanaikata asilimia 70. Watakudanganya kwamba kuna gharama za kilimo ziliongezeka kila ekari. Kumbuka mwanzoni wameishakutoa gharama kubwa sana za kulima ekari moja.

Pia wanakutoa gharama nyingine za ajabu. Yaani faida yako kama ni millioni moja, wanaweza kukupa laki mbili.
Viongozi wa hiyo kampuni ni waongo haswaa. Wakati wa kudai pesa, hakuna mtu atakayeongea na wewe mule ndani. Wote watajifanya hawafanyi kazi hapo.

Kwa ufupi sijui ni kitu gani kile. For sure sio kampuni. Operation zake ni kama upatu. Yaani hawa wanalipa hawa wanalipwa. Wasipolipa hawa, kila kitu kinakufa. Mfumo wao upo hivo hivo. Nina wasi wasi kama mashamba wanayosema yapo kweli. Inawezekana kuna ekari 20 za mahindi ila wao wanasema ekari 2000. Hawajali wateja hata kidogo. Naandaa report yao yenye data zao zote na maneno yao. Kwa wanaofatilia mtashangaa.

Kama unapenda kulima, jilimie mwenyewe. Hawa watakupotezea muda wako na akili yako. Wamekaa kama either hawajui wanafanya nini au wapo hili kupiga pesa yako.
 
Wanakulazimisha kununua mazao kilo 100 hadi 200. Ukishamaliza kununua, wakivuna mazao huwezi kulipwa hata ufanyeje. Watakuzungusha mpaka utachoka.

Taratibu zao, wao pekee ndo wanajiuzia mazao kwa bei ya kutupwa. Wakishanunua kwako, wanakulazimisha kukuuzia kwa bei karibu mara mbili ya ile walonunua kwako.

Wakigundua kwamba unahitaji pesa zako hili utoke, faida yako wanaikata asilimia 70. Watakudanganya kwamba kuna gharama za kilimo ziliongezeka kila ekari. Kumbuka mwanzoni wameishakutoa gharama kubwa sana za kulima ekari moja.

Pia wanakutoa gharama nyingine za ajabu. Yaani faida yako kama ni millioni moja, wanaweza kukupa laki mbili.
Viongozi wa hiyo kampuni ni waongo haswaa. Wakati wa kudai pesa, hakuna mtu atakayeongea na wewe mule ndani. Wote watajifanya hawafanyi kazi hapo.

Kwa ufupi sijui ni kitu gani kile. For sure sio kampuni. Operation zake ni kama upatu. Yaani hawa wanalipa hawa wanalipwa. Wasipolipa hawa, kila kitu kinakufa. Mfumo wao upo hivo hivo. Nina wasi wasi kama mashamba wanayosema yapo kweli. Inawezekana kuna ekari 20 za mahindi ila wao wanasema ekari 2000. Hawajali wateja hata kidogo. Naandaa report yao yenye data zao zote na maneno yao. Kwa wanaofatilia mtashangaa.

Kama unapenda kulima, jilimie mwenyewe. Hawa watakupotezea muda wako na akili yako. Wamekaa kama either hawajui wanafanya nini au wapo hili kupiga pesa yako.
Tuletee ripoti boss.
 
JATU Plc imefikia leo tar 9 Sep 2021 Shs 940 kwa hisa moja. Kutokea ile bei waliotumia kufanya listing ya Shs 500 kwa hisa.

Kwa ufupi, kama ulikuwa na Shs 20,000,000 benki imetulia mwezi wa 6 au wa 7. Ukajipiga kununua shares 40,000 kwa Shs 500. Leo ukiamua kuziuza unapata cash money Shs 37,600,000 (yani 40,000 x Shs 940).

Profit yako ni Shs 17,600,000 ambayo hujaitolea hata tone la jasho. Ni balaa tupu.


View attachment 1930961
Tatizo linakuja nani atanunua ukitaka kuuza
 
By t
Naheshimu mawazo yako juu ya JATU, ila sikubaliani nayo! JATU analenga katika kukamilisha dhana ya kukusanya mtaji au mitaji ili awekeze, pamoja na hao wenye fedha zao, kwenye kilimo au eneo jingine lolote analodhani au watakalodhani, hao wachangiaji kuna TIJA. JATU anatafuta nguvu ya wengi ili kuondokana kwenye umasikini wa kipato (income poverty). Kwa siku za karibuni, dhana hiyo inatumiwa ma wale jamaa wa VANILLA VILLAGE wa Njombe. Umewasikia?
By the way, nimemsikia JATU kesha ingia naye kwenye Soko la Hisa la Dar-es-Salaam (Dar-es-Salaam Stock Exchange)! Inaewzekana mambo yake yakawa safi huko!
 
Kuna mtu anajiita JATU na yeye ana model kama ya Mr kuku, ile ya kwamba toa pesa ulimiwe na uvuniwe.

Huyu JATU kawavuta watu wengi sana mara mashamba Kitetto mara Morogoro.

Model anayo tumia ni ya upatu ni Pyramid ambapo watu wa mwanzo hufaidika ili kuvuta watu wa mwesho ambao huja kuwa victim.

Hawa watu huwa kujitangaza sana ndo jadi yao, kufanya mikutano kwenye hoteli kubwa kubwa ndo jadi yao ila zote hizo huwa ni mbinu za kuvuta watu waingie wapigwe pesa.

Kama JATU anaona kilimo kinalipa kwa nini asiingie akalima pekee akapiga pesa? Kwa nini asichukue mkopo alime huko kiteto apige pesa? Mbona Summury analima pekee yake huko kwao Sumbawanga?

Watu wawe makini na hizi Pyramidi za kwamba toa pesa ulimiwe. Kwa nini asilime yeye?

Mboma MO hawaiti watu wakalime katani huko Tanga? au mbona Interchick hawaambii watu waende wafuge wote kuku?

Jamani tujizidishe Watanzania tunapigwa kirahisi sana.
Nilikutana na Lundo la Watu Benki moja ya NMB wakinunua hisa za JATU
 
Wanakulazimisha kununua mazao kilo 100 hadi 200. Ukishamaliza kununua, wakivuna mazao huwezi kulipwa hata ufanyeje. Watakuzungusha mpaka utachoka.

Taratibu zao, wao pekee ndo wanajiuzia mazao kwa bei ya kutupwa. Wakishanunua kwako, wanakulazimisha kukuuzia kwa bei karibu mara mbili ya ile walonunua kwako.

Wakigundua kwamba unahitaji pesa zako hili utoke, faida yako wanaikata asilimia 70. Watakudanganya kwamba kuna gharama za kilimo ziliongezeka kila ekari. Kumbuka mwanzoni wameishakutoa gharama kubwa sana za kulima ekari moja.

Pia wanakutoa gharama nyingine za ajabu. Yaani faida yako kama ni millioni moja, wanaweza kukupa laki mbili.
Viongozi wa hiyo kampuni ni waongo haswaa. Wakati wa kudai pesa, hakuna mtu atakayeongea na wewe mule ndani. Wote watajifanya hawafanyi kazi hapo.

Kwa ufupi sijui ni kitu gani kile. For sure sio kampuni. Operation zake ni kama upatu. Yaani hawa wanalipa hawa wanalipwa. Wasipolipa hawa, kila kitu kinakufa. Mfumo wao upo hivo hivo. Nina wasi wasi kama mashamba wanayosema yapo kweli. Inawezekana kuna ekari 20 za mahindi ila wao wanasema ekari 2000. Hawajali wateja hata kidogo. Naandaa report yao yenye data zao zote na maneno yao. Kwa wanaofatilia mtashangaa.

Kama unapenda kulima, jilimie mwenyewe. Hawa watakupotezea muda wako na akili yako. Wamekaa kama either hawajui wanafanya nini au wapo hili kupiga pesa yako.
Nakushauri andika hiyo ripoti ili iwafunue macho wengine. Kwa kufanyahivyo utakuwa umewasaidia sana wengine.
 
Jatu Kawa listed lkn kwenye DSE km hii ilikua fraud schemes nadhani DSE wasingeiweka
 
Walianzaga Deci, wakaja kina Ontario, Mr. kuku n.k itafikia mwisho watu watashtuka wenyewe lakini kwa utaratibu wa kuwaambia namna hii utaitwa majina mengi
Biashara ya utapeli huwa ni ya milele coz kila siku Wajinga wapya wanaongezeka..

Ni bonge la investment endapo kama hutaishia kwenye nondo
 
Kuna mtu anajiita JATU na yeye ana model kama ya Mr kuku, ile ya kwamba toa pesa ulimiwe na uvuniwe.

Huyu JATU kawavuta watu wengi sana mara mashamba Kitetto mara Morogoro.

Model anayo tumia ni ya upatu ni Pyramid ambapo watu wa mwanzo hufaidika ili kuvuta watu wa mwesho ambao huja kuwa victim.

Hawa watu huwa kujitangaza sana ndo jadi yao, kufanya mikutano kwenye hoteli kubwa kubwa ndo jadi yao ila zote hizo huwa ni mbinu za kuvuta watu waingie wapigwe pesa.

Kama JATU anaona kilimo kinalipa kwa nini asiingie akalima pekee akapiga pesa? Kwa nini asichukue mkopo alime huko kiteto apige pesa? Mbona Summury analima pekee yake huko kwao Sumbawanga?

Watu wawe makini na hizi Pyramidi za kwamba toa pesa ulimiwe. Kwa nini asilime yeye?

Mboma MO hawaiti watu wakalime katani huko Tanga? au mbona Interchick hawaambii watu waende wafuge wote kuku?

Jamani tujizidishe Watanzania tunapigwa kirahisi sana.
Hatimaye unabii umetimia.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom