Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,203
- 4,677
Alizaliwa Disemba 30, 1963
Amehudumu akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani (CIA) na sasa ndiye Waziri wa Mambo Ya Nje Wa Marekani
Pamoja na kupokea taarifa nyingi kutoka nchi mbalimbali, Mike Pompeo anasifika kwa umakini mkubwa kwenye maamuzi yake ambayo huzingatia uchunguzi wa kina!
Kwa niaba ya Makada wote Wazalendo nchini tunamtakia kila la kheri anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa
Happy anniversary to Him
Amehudumu akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani (CIA) na sasa ndiye Waziri wa Mambo Ya Nje Wa Marekani
Pamoja na kupokea taarifa nyingi kutoka nchi mbalimbali, Mike Pompeo anasifika kwa umakini mkubwa kwenye maamuzi yake ambayo huzingatia uchunguzi wa kina!
Kwa niaba ya Makada wote Wazalendo nchini tunamtakia kila la kheri anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa
Happy anniversary to Him