Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Chadema haitakaa ife as long as kuna vyama vingi tanzania
Bado hoja yangu inasimama.Yanayowakumba Ukawa ni Mungu tu atakayeweza kuepusha kifo kibaya cha Chadema chini ya mwamvuli wa Ukawa.
Umechokwa wewe japokuwa bado hujapewa makavu yako, CCM ni baba lao hata ufanyaje itakutawala tu
Haya mambo ni magumu kuelewekaNakuunga mkono 100% naanza kuwa na mashaka na credibility ya watu wa Kaskazini
Maskini,hukuuona mtego.Unaongelea mwaka 95 wakati CCM ingari imara, tena na Nyerere alikuwa yu ngali hai.....leo mwaka 2015 CCM i vipande vipande chini ya M/kiti JK, Kinana na Mangula ni kama wanalazimishwa kufanya kazi, MKAPA,MWINYI,KARUME na wazee wengine kama kina Warioba na Butiku wnatamani CCM ife waangalie ustaarabu mwingine.
Karibu tena Jamvini tujadiliNapata shida sana na hawa ndg zng ambao wanashindwa kutofautisha nyakati ivi unaweza kuzungumza mambo ya 1995 leo 2015 kweliii..tz ya mwaka 1995 cyo ya leo 2015 hakuna hata ki2 kimoja cha kulinganisha