Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,034
28,201
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.

UPDATES:
Leo tarehe 1/3/2019 mwanaccm mwenye ushawishi nchini ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA amerejea CCM baada ya kuhamia CHADEMA mwaka 2015 nilipoandika thread hii.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Unaongelea mwaka 95 wakati CCM ingari imara, tena na Nyerere alikuwa yu ngali hai.....leo mwaka 2015 CCM i vipande vipande chini ya M/kiti JK, Kinana na Mangula ni kama wanalazimishwa kufanya kazi, MKAPA,MWINYI,KARUME na wazee wengine kama kina Warioba na Butiku wnatamani CCM ife waangalie ustaarabu mwingine.
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee! ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo. Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015. Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze. Nakuunga mkono 100% naanza kuwa na mashaka na credibility ya watu wa Kaskazini
 
Unaongelea mwaka 95 wakati CCM ingari imara, tena na Nyerere alikuwa yu ngali hai.....leo mwaka 2015 CCM i vipande vipande chini ya M/kiti JK, Kinana na Mangula ni kama wanalazimishwa kufanya kazi, MKAPA,MWINYI,KARUME na wazee wengine kama kina Warioba na Butiku wnatamani CCM ife waangalie ustaarabu mwingine.

95 ni jasusi mrema.2015 ni mbowe na lowassa usijitoe ufahamu
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
wewe acha uongo upinzani haukuanzishwa na mrema inawezekana ulikuwa hujazaliwa, mrema alifukuzwa ccm baada ya kutofautiana nao kuhusu kashfa ya Chavda, si kweli kwamba alitumwa kuua upinzani.

lowasa amehamia cdm baada ya kukatwa mchakato kila mtu ameshuhudia tick tack zA MWENYEKITI ,nenda kawaaminishe Ujinga wako wajinga wenzio huko mtaa wa lumumba
 
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!

ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.

Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.

Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
sawa mkuu jingalao
 
32 Reactions
Reply
Back
Top Bottom