jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hii ni historia nyingine inawekwa Tanzania kama ile ya miaka ya tisini na ushee!
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
UPDATES:
Leo tarehe 1/3/2019 mwanaccm mwenye ushawishi nchini ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA amerejea CCM baada ya kuhamia CHADEMA mwaka 2015 nilipoandika thread hii.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
ambapo mh Mrema jasusi mzoefu alivyotumwa na CCM kuanzisha upinzani na hatimaye kuhakikisha upinzani na chama cha NCCR kinadumaa mpaka leo.
Chadema walijitahidi sana kupambana na mamluki kabla ya kuangukia pua mwaka 2015.
Napenda thread hii ibaki katika kumbukumbu ili wanafunzi wa kizazi kijacho juu ya mambo ya siasa nchini wajifunze.
UPDATES:
Leo tarehe 1/3/2019 mwanaccm mwenye ushawishi nchini ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA amerejea CCM baada ya kuhamia CHADEMA mwaka 2015 nilipoandika thread hii.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA