CMBC Mlalahoi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 222
- 69
Hivi maharage ya mbeya yameshavunwa na kupelekwa sokoni eeh!
Nadhani kuna ukweli ndani yake kataja mpaka hotel aliyofikia kinachofanya mkatae ni nini ?.
Rajabs,naface,lizabon na tatamadiba huyu ni mtu mmoja kama shigongo vile
Nimekuamia toka awali kuwa hii ni story ya kutengenezwa na Timu ya membe .Kitoli ni miongoni mwa hoteli ndogo na za hadhi ya chini sana kwa mtu kama Apson Mwang'onda....nai discredit taarifa hii kwa kusema tu Apson anaweza kufikia sehemu kama hii ambayo iko uswahilini huko Hazina....huwezi kuwa chief strategist ama tu kuwa former TISS DG halafu ukae sehemu isio na vyumba maalum wala bustani wala private areas...kifupi mtoa mada hata Kitoli Hoteli haijui
what's Is this?.rajabs
Mkuu Rajabs, hwa jamaa UnderCover ni hatari sana mkuu..Apson hakuwa upande wa lowassa kazi aliyotumwa kashaimaliza...
Tarehe gani mkuu?