Elections 2015 Jasusi Colonel Apson Mwang'onda atua Dodoma

...napata shida sana kuamini hii post, kwanza mleta mada siamini kama unauwezo wa kumpeleleza Apson, pili plan aliyoiandaa apson mwenyewe hawezi kuibadili just over night. Tatu Rostam hana uwezo wa kudrive interest za apson na kumanipulate fate yàke. hili haliwezekani hata siku moja. Mwisho kwa Mzee jasusi mwenye upeo kama apson siamini anaweza kutumika bala anaweza kutumia watu kuweka mtu wake. So hainiingii akilini hizi hoja nyepesi sana....
 
Kama kuna ushahidi mngeuweka, my take, Membe has many advantages over El, sio fisadi, anaweza kujieleza na kujenga hoja ana exposure etc,etc,etc

Membe ni Fisadi mkubwa kuliko wote tena ni mwizi mkubwa , ununuzi wa nyumba za balozi huko Nje zote kapiga 10% , lile fungu la pesa za wageni wa kimataifa anaiba sana hizo pesa, Pia mabilioni ya marehemu Gadafi kayaiba kisha akamteketeza balozi wa Libya , membe hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi .
 
...napata shida sana kuamini hii post, kwanza mleta mada siamini kama unauwezo wa kumpeleleza Apson, pili plan aliyoiandaa apson mwenyewe hawezi kuibadili just over night. Tatu Rostam hana uwezo wa kudrive interest za apson na kumanipulate fate yàke. hili haliwezekani hata siku moja. Mwisho kwa Mzee jasusi mwenye upeo kama apson siamini anaweza kutumika bala anaweza kutumia watu kuweka mtu wake. So hainiingii akilini hizi hoja nyepesi sana....
Timu membe wametumwa na membe watengeneze story ya Uongo ili wasikie majibu sasa nadhani boss wao kapata jawabu .
 
Membe ni Fisadi mkubwa kuliko wote tena ni mwizi mkubwa , ununuzi wa nyumba za balozi huko Nje zote kapiga 10% , lile fungu la pesa za wageni wa kimataifa anaiba sana hizo pesa, Pia mabilioni ya marehemu Gadafi kayaiba kisha akamteketeza balozi wa Libya , membe hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi .

Habari mpya hii, weka na vielelezo ueleweke vizuri kama nawe sio timu fulan
 
Anautaka kwa gharama yeyote ile na alishaapa akiingia ikulu atajenga magereza mapya ili wabaya wake woote awafunge , membe ni mtu Hatari sana.

Kweli JK kaufanya uraisi uwe urahisi

Mpka hyu naye anajiona anafaa kuongoza nchi

Kwa lipi la maana aliloifanyia nchi mpka sasa
 
kuna sehemu mbili umejichanganya
1. umesema amemgeuka Lowasa baada ya kugundua kuwa siyo chaguo la watawala.
2.Ukasema tena ameondoka team Lowasa baada ya kutimuliwa na Rostam
Kauli zako hizi mbili zinaifanya hii hekaya yako ikose uhalali
 
Hii story imepikwa na kutengenezwa na Membe kwani ndiye mtu pekee anayemchukia Lowasa hakuna Mfano , yaani membe anatamani Lowasa afe hata Leo atapumua , maana anamwona Lowasa ni kikwazo kwake.
 
Wakuu bado nipo hapa Dodoma kwa takriban wiki sasa. Lengo ni kuwajuza kinachojiri katika mchakato wa CCM wa kumchagua mgombea wake wa Urais.

Jana lile Jasusi na Kachero Mstaafu wa Idara Ya Usalama Wa Taifa, Colonel Apson Mwang'onda limewasili hapa Dodoma. Amefikia Kitori Hotel iliyopo eneo la Iringa Road hapa Dodoma.

"Nimekuja hapa kwa kazi moja tu kuhakikisha Edward Lowassa kamwe Hachaguliwi kuwa Rais wa nchi hii", nilimnukuu Jasusi huyo akijigamba kwa Mtu wake wa karibu aliyekuwa naye hotelini hapo.

Inaelekea Jasusi huyu (Apson) amebadili msimamo kwani miezi michache tu iliyopita alikuwa anampigania Lowassa usiku na mchana ili awe Rais wa Awamu ya Tano.

Lakini sasa amemgeuka. Sababu ya kumgeuka inasemekana ni baada ya kunusa harufu ya kubaini kuwa Lowassa siyo chaguo la Wenye nchi na jina lake halitorudi katika vikao vya uteuzi vya CCM.

Ama kweli Majasusi hawatabiriki, wanabadilika kama Vinyonga. Leo wapo huku, kesho wanahamia kule. Utafiti wangu unaonyesha kuwa Sababu kubwa za Apson kukorofishana na Lowassa ni Fitina za Rostam Aziz ambaye hataki hata kumsikia Apson kuwepo katika timu yao ya kampeni.

Rostam hampendi na anamtuhumu sana Apson kwamba ni Kibaraka wa Serikali.

Hivyo alimtimua katika vikao vya Team Lowassa. Ntaendelea kuwajuza.

peleka umbea wako huko mdmu mmechanganyikiwa. ..mdimu at work kila siku unaleta mada za kumchafua lowasa apa toka lini ukamtakia mema lowasa. ..nanukuu "Hakuna wa kumzuia Edward lowassa" by Apson so wewe unaleta uharo wako apa unategemea tutakuamini
 
Kama namwona EL chupi ikijaa mavi baada ya majina matano kusomwa na lake lisisikike...

Kama naona ambulance ya General utavyokatisha pale round about chap kushuka makao makuu ya CCM..

Kama naona Private Jet itakavyoandaliwa haraka kumwahisha Mzee Ujerumani.. Kama nawaona Riziwani na Makonda wakiwa na Nape wakigongamwakigonga mvinyo huku wakicheka kwa husda teh teh CCM mwaka wenu huu
 
Kweli JK kaufanya uraisi uwe urahisi

Mpka hyu naye anajiona anafaa kuongoza nchi

Kwa lipi la maana aliloifanyia nchi mpka sasa

Membe ni janga la kitaifa mapesa ya marehemu Gadafi imemzuzua na kumdangaya kuwa ataingia ikulu kwa njia za fitna na kugharamia watu wamchafue Lowasa.
 
Membe ni janga la kitaifa mapesa ya marehemu Gadafi imemzuzua na kumdangaya kuwa ataingia ikulu kwa njia za fitna na kugharamia watu wamchafue Lowasa.

Laana ya Gadafi hi juu yake mtu huyu

Anamchafua ataweza?????

Lowasaa achafukiki et
 
hutaangaika sana..bora urudi ktk ile avata yako ya zamani upost mada za maana ....yan ss ni hatari....unajilegeza ujue mtoto wa kiume utazoea wewe ...
 
Kama kuna ushahidi mngeuweka, my take, Membe has many advantages over El, sio fisadi, anaweza kujieleza na kujenga hoja ana exposure etc,etc,etc

Aisee kumbe exposure ni moja ya vigezo vya kuchagua marais kwenye hii dunia iliyo Kama kijiji ,asante mkuu
 
Back
Top Bottom