naunga mkono hoja.
''usipotumia cheo chako kama dhamana, utasababisha ajali kama ya MV Bukoba''
''panapofuka moshi, ukitaka kuuzima......................''
Mkuu tunaongelea Tanzania.
naunga mkono hoja.
''usipotumia cheo chako kama dhamana, utasababisha ajali kama ya MV Bukoba''
''panapofuka moshi, ukitaka kuuzima......................''
Huyu ndugu alikua mtunzi wa Ukweli,nyimbo zake zinaakisi mazingira ya raia wa kawaida.
mv Bukoba, wamachinga, maisha na nyinginezo nyingi.
Mungu marehem huko aliko.!!