Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Ukweli unauma, hilo jarida limemchambua Dikitekta uchwara kwa ufasaha kabisa.
Na wewe unaingia kwenye mkumbo ??Anakuwa kama yule mtoto wa Noah aliyemkuta baba yake kalewa yuko uchi akaenda kuwaambia wenzie huku akichekacheka
Inasemekana huyo mtoto ndiye baba wa kizazi cha Waafrica
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefanana na hilo neno Mr Jiwe. Ukweli ni shubiriNasubiri povu kutoka mtaa wa lumumba.
Makala nzima ya The Economist imemponda jiwe. Lakini wameeleza ukweli. Hawajadanganya; wala hakuna propaganda.
Hivi neno "foolish" ni tusi? Nilidhani ni neno la dharau tu.
Mbona kama wewe ndio unamtukana manake nukuu hako imaliza economy. Mbona yeye sio mchumi na baazi ya maamuzi yake katika uchumi yanashtua wajuvi. We korosho zinunuliwe na jeshi kweli we ungeitaje iko kitendo kwa mfano. Manake tungeweka sie maneno yetu tungekuwa tushatupwa ktk viroba pwani huko.Habari,
Leo mapema nilitafuta nakala yangu ya Jarida la The Economist, moja kati ya majarida makubwa kabisa, makongwe na yanayosomwa na wengi ziaidi hapa duniani.
Kama kawaida huwa naenda kuangalia kipengele cha Africa & Middle East. Leo walichokisema kuhusu Tanzania kwenye kichwa cha habari ni kumwita Raisi Magufuli "A Tanzanian despot wannabe"
Ukisoma zaidi wameongelea jinsi anavyowafunga wapinzani na wakafika sehemu wakasema kwamba Mh Tundu Lissu ndiye anamtesa sana Raisi wetu. Wakasema maneno haya kuhusu Lissu "Mr Lissu is back in full cry, with well-aired performances at Western think-tank forums and television abroad"
Lakini katika yote haya, lililolamata sana macho yangu ni hili la kusema kwamba Raisi Magufuli ni FOOLISH. Wamesema hivi " The President has been foolish in Economics matters too" wakimaanisha kwamba Raisi wetu ni mjinga kwenye mambo ya kisiasa waliyoyazungumzia lakini pamoja na yale ya kiuchumi.
Wamezungumzia suala la Gazeti la The Citizen kufungiwa na wakasema kuna mpango wa kuliuza kwa mtu mwenye asili ya Mashariki ya Kati ambaye ni rafiki wa Raisi Magufuli.
Mwisho kabisa wamezungumzia jinsi ambavyo Raisi wetu amegeukia Mashariki ya Kati na Uchina kuomba msaada baada ya kugombana na mataifa ya Magharibi.
MY TAKE:
Wizara ya Mambo ya nje ichukue hatua stahiki kwa haya maneno ambayo Raisi wetu amekashifiwa nayo. Maana neno A Fool kwenye Cambridge Dictionary linasema hivi " A person who behaves in silly way without thinking" na neno Foolish ni "Unwise, stupid or not showing good judgement"
Jamani Raisi wetu katukanwa matusi makubwa sana kwasababu binafsi siamini kwamba Raisi wetu ni mpumbavu au mtu asiye na uelewa wowote ule...
Binafsi siyo mshabiki wa Raisi Magufuli lakini haya matusi kwa jarida kubwa kama hili hayajakaa vizuri. Hatua stahiki sichukuliwe na Wizara Husika.
Nawasilisha.
CC: chige, JokaKuu, Nguruvi3, Pascal Mayalla, introvert, Quinine, technically, Consigliere, Wick, Red Giant
Kwani anachokifanya kina chembe ya kinyume na yaliyoandikwa?Habari,
Leo mapema nilitafuta nakala yangu ya Jarida la The Economist, moja kati ya majarida makubwa kabisa, makongwe na yanayosomwa na wengi ziaidi hapa duniani.
Kama kawaida huwa naenda kuangalia kipengele cha Africa & Middle East. Leo walichokisema kuhusu Tanzania kwenye kichwa cha habari ni kumwita Raisi Magufuli "A Tanzanian despot wannabe"
Ukisoma zaidi wameongelea jinsi anavyowafunga wapinzani na wakafika sehemu wakasema kwamba Mh Tundu Lissu ndiye anamtesa sana Raisi wetu. Wakasema maneno haya kuhusu Lissu "Mr Lissu is back in full cry, with well-aired performances at Western think-tank forums and television abroad"
Lakini katika yote haya, lililolamata sana macho yangu ni hili la kusema kwamba Raisi Magufuli ni FOOLISH. Wamesema hivi " The President has been foolish in Economics matters too" wakimaanisha kwamba Raisi wetu ni mjinga kwenye mambo ya kisiasa waliyoyazungumzia lakini pamoja na yale ya kiuchumi.
Wamezungumzia suala la Gazeti la The Citizen kufungiwa na wakasema kuna mpango wa kuliuza kwa mtu mwenye asili ya Mashariki ya Kati ambaye ni rafiki wa Raisi Magufuli.
Mwisho kabisa wamezungumzia jinsi ambavyo Raisi wetu amegeukia Mashariki ya Kati na Uchina kuomba msaada baada ya kugombana na mataifa ya Magharibi.
MY TAKE:
Wizara ya Mambo ya nje ichukue hatua stahiki kwa haya maneno ambayo Raisi wetu amekashifiwa nayo. Maana neno A Fool kwenye Cambridge Dictionary linasema hivi " A person who behaves in silly way without thinking" na neno Foolish ni "Unwise, stupid or not showing good judgement"
Jamani Raisi wetu katukanwa matusi makubwa sana kwasababu binafsi siamini kwamba Raisi wetu ni mpumbavu au mtu asiye na uelewa wowote ule...
Binafsi siyo mshabiki wa Raisi Magufuli lakini haya matusi kwa jarida kubwa kama hili hayajakaa vizuri. Hatua stahiki sichukuliwe na Wizara Husika.
Nawasilisha.
CC: chige, JokaKuu, Nguruvi3, Pascal Mayalla, introvert, Quinine, technically, Consigliere, Wick, Red Giant
Baadae ntaweka mada nzima uone mwenyewe. Hapo nimepunguza maneno, yaliyoandikwa: Wameandika mengi sana ambayo nadhani hata mkisoma mnaweza kusema kipindi hiki wameenda mbali.Mbona kama wewe ndio unamtukana manake nukuu hako imaliza economy. Mbona yeye sio mchumi na baazi ya maamuzi yake katika uchumi yanashtua wajuvi. We korosho zinunuliwe na jeshi kweli we ungeitaje iko kitendo kwa mfano. Manake tungeweka sie maneno yetu tungekuwa tushatupwa ktk viroba pwani huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fools of Magufull type mpo wengiUkiona mtu anatukana ujue ameishiwa hoja
Magufuli ni kiboko
It seems you are already in Lumumba payroll system,because you work hard to paint on the wind, while the wind is unpaintableHabari,
Leo mapema nilitafuta nakala yangu ya Jarida la The Economist, moja kati ya majarida makubwa kabisa, makongwe na yanayosomwa na wengi ziaidi hapa duniani.
Kama kawaida huwa naenda kuangalia kipengele cha Africa & Middle East. Leo walichokisema kuhusu Tanzania kwenye kichwa cha habari ni kumwita Raisi Magufuli "A Tanzanian despot wannabe"
Ukisoma zaidi wameongelea jinsi anavyowafunga wapinzani na wakafika sehemu wakasema kwamba Mh Tundu Lissu ndiye anamtesa sana Raisi wetu. Wakasema maneno haya kuhusu Lissu "Mr Lissu is back in full cry, with well-aired performances at Western think-tank forums and television abroad"
Lakini katika yote haya, lililolamata sana macho yangu ni hili la kusema kwamba Raisi Magufuli ni FOOLISH. Wamesema hivi " The President has been foolish in Economics matters too" wakimaanisha kwamba Raisi wetu ni mjinga kwenye mambo ya kisiasa waliyoyazungumzia lakini pamoja na yale ya kiuchumi.
Wamezungumzia suala la Gazeti la The Citizen kufungiwa na wakasema kuna mpango wa kuliuza kwa mtu mwenye asili ya Mashariki ya Kati ambaye ni rafiki wa Raisi Magufuli.
Mwisho kabisa wamezungumzia jinsi ambavyo Raisi wetu amegeukia Mashariki ya Kati na Uchina kuomba msaada baada ya kugombana na mataifa ya Magharibi.
MY TAKE:
Wizara ya Mambo ya nje ichukue hatua stahiki kwa haya maneno ambayo Raisi wetu amekashifiwa nayo. Maana neno A Fool kwenye Cambridge Dictionary linasema hivi " A person who behaves in silly way without thinking" na neno Foolish ni "Unwise, stupid or not showing good judgement"
Jamani Raisi wetu katukanwa matusi makubwa sana kwasababu binafsi siamini kwamba Raisi wetu ni mpumbavu au mtu asiye na uelewa wowote ule...
Binafsi siyo mshabiki wa Raisi Magufuli lakini haya matusi kwa jarida kubwa kama hili hayajakaa vizuri. Hatua stahiki sichukuliwe na Wizara Husika.
Nawasilisha.
CC: chige, JokaKuu, Nguruvi3, Pascal Mayalla, introvert, Quinine, technically, Consigliere, Wick, Red Giant
Hata maneno "despot wannabe" yaliyopo kwenye kichwa cha taarifa hiyo ni matusi pia!!! Hawa wazungu hawana adabu!!!! Uki-"google maana yake" unaweza kutoa machozi. Hili gazeti lipigwe marufuku hapa nchini.
Yeye anapuuza gazeti la Tanzanite kutukana na kukashifi wapinzani wake....akaphuze na hilo! Mkuki kwa nguruwe....pia nawe fatilia tanzanite kama unavyofanya kwa the economistKwahiyo wewe unasema hili alipuuze tu ?
Unadhani mkuu serikali ya Tanzania italifanya nini hilo gazeti?Mimi kauli yangu haina uzito wowote ule kwenye nchi hii kwasababu I'm a nobody. Hivyo sidhani kama ya moyoni mwangu yana umuhimu wowote ule kufahamika.
Mimi ni mjumbe tu...
Hii ni mada ya aina yake. Nashauri tukipata nakala ya the economist ( reference) ipelekwe kule jukwaa la lugha ijadiliwe vizuri.Has been foolish na You are foolish ni vitu viwili tofauti ndugu yangu, acha kuchonganisha watu na huu ni mwezi wa toba!
Heri Wapatanishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakuwa serekali hasa ya wamu hii ina mkono mrefu, nashauri serekali yetu ya sisyemu ilifungie maisha! kisha mhariri wake apigwe risasi 16.Mkuu wewe sio nobody .... sauti yako inasikika hadi kuzimu kwa Malcom X na Patrice Lumumba (Hawa wote walikuwa wanaharakati maarufu waropokaji bila kujali wanamropokea nani lakini walikosa busara na akili, yaani unwise and stupid na kwa sababu hiyo hawakufanikisha cha maana), na duniani huku hadi kwa Nape Nnauye na Julius Malema! Kimsingi kuleta hapa hii kitu ungependa wote tushangilie ulichokileta kutoka huko the economist. Ukimkuta mzazi wako anatukanwa nyumba ya jirani nawe ukaja nyumbani kuwaeleza wadogo zako matusi anayotukanwa baba yako hiyo nayo ni unwise and stupid!
Regards
Lakini wewe moyoni mwako unaonaje mkuu? Sema tu ukweli wako.
CC Zero IQ
Sawa.It seems you are already in Lumumba payroll system,because you work hard to paint on the wind, while the wind is unpaintable
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huna akili timamu na hujitambui kabisa ,Tanzania inaweza kushindana na UK? inaweza kushindana na US na ikashinda?Rais Magufuli zidi kukandamiazia hapohapo! Hao ni mabeberu umewashika pabaya! Ukiona hivyo wanazidi kushindwa big up Dr Magu! Tuliibiwa kiasi cha kutosha. Katika hili makutetea mpaka mwisho.