MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
- Thread starter
- #81
Sina huo uwezo...Hatuhitaji tafsiri yako binafsi, tena kwa Kiswahili. Andika majibu kwa kiingereza kama ulivyowaelewa.
Vipi una ushauri mwingine mkuu ?
Sina huo uwezo...Hatuhitaji tafsiri yako binafsi, tena kwa Kiswahili. Andika majibu kwa kiingereza kama ulivyowaelewa.
Soma redacted posting yangu. Sina ushauri zaidi ya kwamba nashangaa kama uliweza kuwatafuta, kuwasoma na kuwaelewa kwa Kiingereza, iweje ushindwe kuwajibu kwa Kiingereza?Sina huo uwezo...
Vipi una ushauri mwingine mkuu ?
Malcom Lumumba,
..but I think Mzee is in a very unfortunate situation by having key advisors who do not point him in the right direction.
..Bad for him. Bad for the country.
Mtu foolish anastahili kufundishwa. Ndio maana tunaenda shule kufuta ujinga - kufundishwa.
Wangemwita Mpumbavu - STUPID ningeuelewa huu uchochezi wako
Quit living in a fish bowl.....Soma redacted posting yangu. Sina ushauri zaidi ya kwamba nashangaa kama uliweza kuwatafuta, kuwasoma na kuwaelewa kwa Kiingereza, iweje ushindwe kuwajibu kwa Kiingereza?
Hivi ninyi mna tatizo gani na mimi ???
Mazingira magumu kivipi wakati msimamo wangu unafahamika na nimeshauweka wazi hapo juu ???unamuweka mwenzio kwenye mazingira magumu sana.
HA KU NAAAVyombo vya habari vina uhuru wa kutosha kwenye Nchi nyingi, hawa huwa nawachambua kila sentensi inayoongewa na mkuu wa Nchi, au kiongozi kwenye heshima yake kwenye jamii. Pengine Wamechambua matamshi yake, vitendo vyake na serikali yake, hivyo wakapata cha kumwita.
Tanzania unaambiwa “ msifikiri kuwa mnao uhuru kivile”
Swali: kuna yeyote anaweza kunisaidia kujua kama kuna gazeti Tz Leo linalo andika habari za kiuchunguzi kama zamani, kulingana na matukio yanayo tokea Nchini ?
At last! wewe tuko kwenye mtumbwi mmoja. Lugha iliyotumika hapo siyo ya kiungwana kabisa. Inaleta picha ya tofauti kidogo, hata kama wanakosoa sidhani kama walikosa maneno mengine ya kutumia.Dah! Nimeisoma, so sad! Jamaa wametumia lugha kali sana, nadhani Dk Abbas na Palamagamba wanatakiwa kufanya kitu kuwakomesha hawa mabeberu!
Anakuwa kama yule mtoto wa Noah aliyemkuta baba yake kalewa yuko uchi akaenda kuwaambia wenzie huku akichekachekaMkuu wewe sio nobody .... sauti yako inasikika hadi kuzimu kwa Malcom X na Patrice Lumumba (Hawa wote walikuwa wanaharakati maarufu waropokaji bila kujali wanamropokea nani lakini walikosa busara na akili, yaani unwise and stupid na kwa sababu hiyo hawakufanikisha cha maana), na duniani huku hadi kwa Nape Nnauye na Julius Malema! Kimsingi kuleta hapa hii kitu ungependa wote tushangilie ulichokileta kutoka huko the economist. Ukimkuta mzazi wako anatukanwa nyumba ya jirani nawe ukaja nyumbani kuwaeleza wadogo zako matusi anayotukanwa baba yako hiyo nayo ni unwise and stupid!
Regards
Nenda mahakamani uwafungulie kesi ya kashfa walipe fidia na kifungo juu!Habari,
Leo mapema nilitafuta nakala yangu ya Jarida la The Economist, moja kati ya majarida makubwa kabisa, makongwe na yanayosomwa na wengi ziaidi hapa duniani.
Kama kawaida huwa naenda kuangalia kipengele cha Africa & Middle East. Leo walichokisema kuhusu Tanzania kwenye kichwa cha habari ni kumwita Raisi Magufuli "A Tanzanian despot wannabe"
Ukisoma zaidi wameongelea jinsi anavyowafunga wapinzani na wakafika sehemu wakasema kwamba Mh Tundu Lissu ndiye anamtesa sana Raisi wetu. Wakasema maneno haya kuhusu Lissu "Mr Lissu is back in full cry, with well-aired performances at Western think-tank forums and television abroad"
Lakini katika yote haya, lililolamata sana macho yangu ni hili la kusema kwamba Raisi Magufuli ni FOOLISH. Wamesema hivi " The President has been foolish in Economics matters too" wakimaanisha kwamba Raisi wetu ni mjinga kwenye mambo ya kisiasa waliyoyazungumzia lakini pamoja na yale ya kiuchumi.
Wamezungumzia suala la Gazeti la The Citizen kufungiwa na wakasema kuna mpango wa kuliuza kwa mtu mwenye asili ya Mashariki ya Kati ambaye ni rafiki wa Raisi Magufuli.
Mwisho kabisa wamezungumzia jinsi ambavyo Raisi wetu amegeukia Mashariki ya Kati na Uchina kuomba msaada baada ya kugombana na mataifa ya Magharibi.
MY TAKE:
Wizara ya Mambo ya nje ichukue hatua stahiki kwa haya maneno ambayo Raisi wetu amekashifiwa nayo. Maana neno A Fool kwenye Cambridge Dictionary linasema hivi " A person who behaves in silly way without thinking" na neno Foolish ni "Unwise, stupid or not showing good judgement"
Jamani Raisi wetu katukanwa matusi makubwa sana kwasababu binafsi siamini kwamba Raisi wetu ni mpumbavu au mtu asiye na uelewa wowote ule...
Binafsi siyo mshabiki wa Raisi Magufuli lakini haya matusi kwa jarida kubwa kama hili hayajakaa vizuri. Hatua stahiki sichukuliwe na Wizara Husika.
Nawasilisha.
CC: chige, JokaKuu, Nguruvi3, Pascal Mayalla, introvert, Quinine, technically, Consigliere, Wick, Red Giant
Pole saana kwa uchungu ulioupata wa raisi wako kutukanwa
Lkn jipe moyo maana hilo gazeti ni la kidhungu na ni la mabeberu pia na ukiona raisi yoyote yule anashambuliwa na media za mabeberu jua ni raisi imara kweli kweli
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Acha ubabaishaji. Don't be a fraud. If you were able to comprehend the article in its original language, why fuss about replying to it in the same language it was written in?Quit living in a fish bowl.....