mbongowakweli
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 844
- 672
Mzungu mkuu ukishagusa maslahi yake, ukizuia ulaji wake, wizi na unyonyaji wa rasilimali na maliasili zilizopo popote pale duniani, basi lazima wapige kelele, wamezoea vya kunyong sana hawa, kujisifia kutwa ni 1st world kumbe ule uu 1st world wanaupata kwenye nchi kama zetu, walianza na Mugabe hivi hivi, au Qadaffi, na hata Saadam, majambazi kabisa haya..