Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Taifa linazidi kuachwa uchi hadi kimataifa
Ukisikia kunyea kambi ndiyo itakuwa hiyo siku mother anstamani sana na kikwete wampe uwaziri huyo muuza madawa ila wanaogopa kunyea kambiTujiandae Rizone kupewa uwaziri soon...
Kwani shida nini Rizone kuwa Waziri?Tujiandae Rizone kupewa uwaziri soon...
Nimeota tumepata CDF mwanamkeHili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?
Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Kama kweli basi tumeshapigwa.
Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
Siyo Majaliwa tena?Kikwete ndio anatawala ndugu
Dah....Pamba fc Vs Coastal union 🤣🤣🤣🤣🤭Ndo wanajua leo? Watanzania mbona wanajua Msoga gang ipo mzigoni.
Dah....kunywa maji mengi kabla ya kulala 🤣🤣🤣🤭Ni
Nimeota tumepata CDF mwanamke
Japo Jiwe lilikuwa halishauriki, lilidai 'wanawashwa washwa' akina JK.Nyerere hayupo,Magufuli hayupo ,mkapa hayupo ,Mwinyi amezeeka ,bila shaka mshauri wake kwa upande wa Marais lazima atakuwa kikwete
Mm mbona naona heri kikwete kuliko jiwe!!?Kikwete anaweza kuwa mtu wa kutoa ushauri? Kuna watu walipata urais kama laana kwa nchi. sasa tena kumbe kuna mengine!
Jiwe lilikua baguzi,lenye chuki,lenye ukabila na mabaya mengi tuuu !!! Siioendi ccm lakin bora msoga kuliko jiwe!??Ndiyo maana naendelea kusema late Pombe he was jiwe lisiloyumba and never get compare for years!.
Kwa akili zako mtu akiwa your confidant tayari ana mahusiano na wewe?
Au utufafanulie neno mahusiano umelitumia katika muktadha upi.
Narudia tena kukwambia, go back to school.
Unajua pembe la mo halifichiki
Umeshawahi kuiona video yake ?Editor ni Mr Smith ofc zipo London