Potelea pote, la msingi tufike salama.
Potelea pote, la msingi tufike salama.
That's up to him to find the best school to hone is English.Point out the school to which he should go.
Kabila bado anatawala Congo kwa 'namna ya tisa'.Kuna kosa gani hapo mkwere kurudi kwa mlango wa nyuma mbona congo kabila katundika koti ofisini kwa tshekedi
TUSHAPIGWA KWEL JPM ALIKUWA ANAMKATIA UZI MARA NYINGI SANA JKHili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?
Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."
Kama kweli basi tumeshapigwa.
Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
sukuma gang inateseka sana ilishaaminishwa yenyewe ndio yenye nchi mungu anamipango bora kuliko sisi binadamu
mwisho wao utafkaTUSHAPIGWA KWEL JPM ALIKUWA ANAMKATIA UZI MARA NYINGI SANA JK
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.