Jarida la Africa Intelligence laripoti uhusiano kati ya Rais Samia na Dkt. Kikwete

Kwa hiyo ukiwa Rais uanze kuwatukana watangulizi wako...ni malezi, Samia hajalelewa hivyo, atakuwa karibu nae na itapobidi ataomba ushauri, sio kunifanya anajua kila kitu.
Kupata ushauri kwa jizi
 
Hili jarida linamilikiwa na nani? Ofisi zao ziko nchi gani? Kilichoandikwa hapa ni ukweli au ni uongo?

Nikinukuu aya yakwanza katika makala hii "After having been ignored by John Magafuli, former president Jakaya Kikwete is back in business as Samia Suluhu Hassan's confidant."

Kama kweli basi tumeshapigwa.

Chanzo: TANZANIA : Ex-president Kikwete returns to the fore as Suluhu Hassan's mentor and messenger
TUSHAPIGWA KWEL JPM ALIKUWA ANAMKATIA UZI MARA NYINGI SANA JK
 
tatzo hujaelewa maada,hebu angalia wakat magu yupo madarakan,ulikuwa unaona kikwete anatajwa tajwa kushliki kaz au ziara za kiserikal mara kwa mara?the same to kikwete mwenyewe mkapa alikuwa mshauri tu tena asiyetambulika kwenye uso wa watanzania
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Back
Top Bottom