Jaribu kuheshimu ndoto yako na acha mihemuko

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,762
8,834
Habari wana jukwaa.

Leo nizungumzie jambo moja linalo wagharimu watu na nimeona hata humu humu.

Wengi wetu tumekuwa tunapata mihemuko baada ya kuona either Picha za mtu analima, picha za Mtu anafuga kuku au Nguruwe au Ng'ombe.

TUMEKUWA TUKO RADHI KUACHA DREMA ZETU NA KUTAKA KUIGA ZA WENZETU KISA TU,
- Nimeona picha zake
- Nimeona kwenye TV
- Nimesimuliwa
-Nimeshauriwa
-Nimesikia
- Tumehamasishwa

Kama vitu tajwa hapo ndo vinakufanya ufanye jambo basi jiandae kushindwa tu

Kama ndo hivyo ni makosa makubwa sana na yanakuja kukugharimu sana.

Fanya kile unacho penda from your hert, fanya kile unaota kufanya kama ni kuguga panya wewe fuga panya wako make ndo Dream yako.

Kama dream yako ni kulima mchicha just lima mchicha hapo ndo utakapo tajirikia.

Kama dream yako ni kufuga Nguruwe just fuga Nguruwe.

Ni kosa sana kuyumbishwa kwenye Dream na ukikosa msimamo maana yake utakuwa unacheza upatu sasa.

Watu wengi wamelia sana. Ilikuja Kware wakaacha kufuha kuku na kuingilia kware ikaja sijui sungura hivyo hivyo.

Acha kupata hamasa kwa kuangalia picha, picha zinachukukiwa google mtu anazuha ni yeye, pichea zinakuzwa.

Pata hamasa kupitia kazi yako mwenyewe, achana na hamasa za picha.

NA MWISHO JARIBU KUHESHIMU DREAM YAKO
 
Chasha ni kweli kabisa usemayo.Ila kuna wakati unajikuta kila ukifanya unachoamini au kukipenda una fail,.

Mfano hivi sasa kwa wafugaji wa Nguruwe kuna ugonjwa wa Homa ya Nguruwe, ambapo kuna mtu alikuwa na nguruwe 300,wote wamekufa,na hali hii hutokea karibu kila mwaka,ukizingatia gharama za utunzaji wa mnyama kama Nguruwe ni kubwa sana,ikitokea kwa Mfugaji huyu Mara mbili au zaidi,ni lazima akate tamaa,na kurukia kitu kingine.

Mwingine ni Mfugaji wa Kuku,amefuga Kuku wake labda 2000,huyu anakumbana na changamoto ya Chanjo fake zinazopelekea Kuku wake kufa kwa mkupuo,akijaribu Mara nyingine anakumbana na changamoto ya Soko,Kuku wamekuwa wengi mitaani,Chakula kimependa bei,anaamua kuwauza kwa hasara ambapo mtaji unakata,anaamua kujaribu fursa nyingine.

Kwa hivyo mambo haya yanachagisha wajasiriamali wengi kutokuwa na misimamo,hasa ukizingatia mitaji inakuwa ni ya kuungaunga.
 
Chasha ni kweli kabisa usemayo.Ila kuna wakati unajikuta kila ukifanya unachoamini au kukipenda una fail,.

Mfano hivi sasa kwa wafugaji wa Nguruwe kuna ugonjwa wa Homa ya Nguruwe, ambapo kuna mtu alikuwa na nguruwe 300,wote wamekufa,na hali hii hutokea karibu kila mwaka,ukizingatia gharama za utunzaji wa mnyama kama Nguruwe ni kubwa sana,ikitokea kwa Mfugaji huyu Mara mbili au zaidi,ni lazima akate tamaa,na kurukia kitu kingine.

Mwingine ni Mfugaji wa Kuku,amefuga Kuku wake labda 2000,huyu anakumbana na changamoto ya Chanjo fake zinazopelekea Kuku wake kufa kwa mkupuo,akijaribu Mara nyingine anakumbana na changamoto ya Soko,Kuku wamekuwa wengi mitaani,Chakula kimependa bei,anaamua kuwauza kwa hasara ambapo mtaji unakata,anaamua kujaribu fursa nyingine.

Kwa hivyo mambo haya yanachagisha wajasiriamali wengi kutokuwa na misimamo,hasa ukizingatia mitaji inakuwa ni ya kuungaunga.
As long as unakipenda basi utafanikiwa. Mafanikio huchukua hata 20 years mkuu. Uvumilivi ndo siraha pekee ya mafanikio
 
Habari wana jukwaa.

Leo nizungumzie jambo moja linalo wagharimu watu na nimeona hata humu humu.

Wengi wetu tumekuwa tunapata mihemuko baada ya kuona either Picha za mtu analima, picha za Mtu anafuga kuku au Nguruwe au Ng'ombe.

TUMEKUWA TUKO RADHI KUACHA DREMA ZETU NA KUTAKA KUIGA ZA WENZETU KISA TU,
- Nimeona picha zake
- Nimeona kwenye TV
- Nimesimuliwa
-Nimeshauriwa
-Nimesikia
- Tumehamasishwa

Kama vitu tajwa hapo ndo vinakufanya ufanye jambo basi jiandae kushindwa tu

Kama ndo hivyo ni makosa makubwa sana na yanakuja kukugharimu sana.

Fanya kile unacho penda from your hert, fanya kile unaota kufanya kama ni kuguga panya wewe fuga panya wako make ndo Dream yako.

Kama dream yako ni kulima mchicha just lima mchicha hapo ndo utakapo tajirikia.

Kama dream yako ni kufuga Nguruwe just fuga Nguruwe.

Ni kosa sana kuyumbishwa kwenye Dream na ukikosa msimamo maana yake utakuwa unacheza upatu sasa.

Watu wengi wamelia sana. Ilikuja Kware wakaacha kufuha kuku na kuingilia kware ikaja sijui sungura hivyo hivyo.

Acha kupata hamasa kwa kuangalia picha, picha zinachukukiwa google mtu anazuha ni yeye, pichea zinakuzwa.

Pata hamasa kupitia kazi yako mwenyewe, achana na hamasa za picha.

NA MWISHO JARIBU KUHESHIMU DREAM YAKO
Vizuri vinaigwa mkuu
 
Chasha

Habari ya siku!!

Lakini kwanini nisifanye kitu chenye soko hata kama sikipendi?? Mi nafikiri hii ndio biashara hasa inayotakiwa. Sasa nikifanya kitu kwa passion na sio business nitapata faida kweli???


Nifanye kitu as business na sio passion bana..au sio??
 
Chasha ni kweli kabisa usemayo.Ila kuna wakati unajikuta kila ukifanya unachoamini au kukipenda una fail,.

Mfano hivi sasa kwa wafugaji wa Nguruwe kuna ugonjwa wa Homa ya Nguruwe, ambapo kuna mtu alikuwa na nguruwe 300,wote wamekufa,na hali hii hutokea karibu kila mwaka,ukizingatia gharama za utunzaji wa mnyama kama Nguruwe ni kubwa sana,ikitokea kwa Mfugaji huyu Mara mbili au zaidi,ni lazima akate tamaa,na kurukia kitu kingine.

Mwingine ni Mfugaji wa Kuku,amefuga Kuku wake labda 2000,huyu anakumbana na changamoto ya Chanjo fake zinazopelekea Kuku wake kufa kwa mkupuo,akijaribu Mara nyingine anakumbana na changamoto ya Soko,Kuku wamekuwa wengi mitaani,Chakula kimependa bei,anaamua kuwauza kwa hasara ambapo mtaji unakata,anaamua kujaribu fursa nyingine.

Kwa hivyo mambo haya yanachagisha wajasiriamali wengi kutokuwa na misimamo,hasa ukizingatia mitaji inakuwa ni ya kuungaunga.
Wazo kama langu!!

Chasha anasahau watu wanafanya biashara na sio passion
 
Chasha

Habari ya siku!!

Lakini kwanini nisifanye kitu chenye soko hata kama sikipendi?? Mi nafikiri hii ndio biashara hasa inayotakiwa. Sasa nikifanya kitu kwa passion na sio business nitapata faida kweli???


Nifanye kitu as business na sio passion bana..au sio??
Chenye soko ni kipi na kisolicho kuwa na soko ni kipi?

My be unaongelea uchuuzi na sio Ujasiriamali.

Mkuu ili uwe mjasiriamali lazima uione kesho.

Wakina Henry Ford waliiona kesho, Thomas Edson aliona kesho.

Do whay you love and fall in love kwa unacho penda.

Mkuu watu hatufanikiwa kwa sababu kuu kwamba ni bendera fuata upepo na sio kwamba unafanya kwa mapenzi yako.

- Mwaka jana ulikuwa unalima Nyanya baada ya kusikia zinalipa.
- Mwaka jana mwishoni ukaacha kulima nyanya ukaanza kulima Tango baada ya kuona mtu kweny TV ana miliki Gari kwa kulima Tango.

- Mwaka huo huo ukaona Tango sio kabisa hazilipi ukaingia kwenye Tikitki na hii ni baada ya kuambiwa kwamba inalipa sana na kuna Mdada kajenga kwa kulima tikitiki.

- Baada ya kulima tikitiki na kuvuna msimu mmoja ukaona huwezi nunua Gari kwa kilimo cha Tikitiki.

- Mwaka huu mwanzoni ukaona kwenye TV kwamba ufugaji wa sungura ni pesa na unaweza kuwa biliobare. faster ukajenga mabanda na kuanza kufuga Sungura.

Umefuga na wamekuwa wengi ila huoni kabisa uwezekano wa kuwa bilioanare umeacha.

- Ukaanza kufuga kuku wa Broiler ni baada ya kuhamasishwa kwenye semina.
Umefuga mara mbili unaona ni hasara umeacha kwa sasa unalima Vitunguu.

NDO TRIEND ZETU HIZO KWA STAILI HII
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom