jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Muhudumu ongeza galasi!
Kwa nini jaribio la kumuua Tundu lissu ambaye ni mkosoaji mkuu wa serikali kwa miaka yote hata kabla ya Magufuli?
Kwa nini jaribio hili linakuja muda mfupu baada ya Rais kupelekewa na kupokea ripoti ya wizi wa maluasili yetu ya madini ya almasi?
Kwa nini jaribio hili linakuja wakati huu ambapo waziri na serikali inajiaandaa kupoke ripoti ya wizi wa madini ya amasi ambapo waziri mhusika anaamua kuchukua hatua za kuwashughukia wahusika wa wizi wa madini yetu ya almasi na Tanzanite?
Kwa nini jaribio hili linapata publicity ya vyombo vya magharibi au nje kama DW na aljazeera ?
Kwa nini jaribio la kumuua lissu linapata publicity ya ubalozi wa USA na EU ndani ya muda mfupi kulinganisha na matukio mengine ya aina hii?
Kwa nini jaribio la kumuua Tundu lissu ambaye ni mkosoaji mkuu wa serikali kwa miaka yote hata kabla ya Magufuli?
Kwa nini jaribio hili linakuja muda mfupu baada ya Rais kupelekewa na kupokea ripoti ya wizi wa maluasili yetu ya madini ya almasi?
Kwa nini jaribio hili linakuja wakati huu ambapo waziri na serikali inajiaandaa kupoke ripoti ya wizi wa madini ya amasi ambapo waziri mhusika anaamua kuchukua hatua za kuwashughukia wahusika wa wizi wa madini yetu ya almasi na Tanzanite?
Kwa nini jaribio hili linapata publicity ya vyombo vya magharibi au nje kama DW na aljazeera ?
Kwa nini jaribio la kumuua lissu linapata publicity ya ubalozi wa USA na EU ndani ya muda mfupi kulinganisha na matukio mengine ya aina hii?