Jaribio la kutaka kuiangusha serikali ya Nyerere 1982/1983

Nyerere kisha taka kupinduliwa mara nyingi tu.

Ni watu walikuwa hawampendi, kadhulumu mali za watu, kuanzia majumba, mashamba, biashara. Akawa hajui kuongoza nchi, aliongoza kidikteta, atakacho yeye ndio hicho hicho, watu wakawa masikini wa kutupwa, kila mtu mnyonge na kadhoofika, kasoro watu wa mduara wake tu.

Kuna kupendwa hapo? Watu waliompenda ni wa kanisa katoliki tu kwani wao ndio aliwatumikia kwanza kuliko nchi, na hilo kalisema mwenyewe si maneno yangu hayo, anaebisha namwekea nukuu. Anza.
Okay kwa nini babu yako hakuongoza nchi
 
Waliotaka kupindua serikali 8 - 9 January 1983 ni hawa waliotajwa hapa chini katika gazeti la Daily News wakiwa mahakamani. Mpango huo ulianza November 1982.

Ingawa mmoja wao, mwanajeshi, alipoulizwa katika mahojiano na Godfrey Mwakikagile (Nyerere and Africa: End of an Era, kurasa 680 - 690) kama ni kweli walikuwa na mpango wa kumuua raisi, Mwalimu Nyerere, alisema hawakuwa na mpango huo, moja ya mashtaka yao lilikuwa ni hilo la kutaka kumuua raisi, kutokana na taarifa ya Charles Kizigha, mwandishi wa habari wa Daily News aliyekuwa kortini kesi hiyo ilipokuwa inaendelea.

Pia katika mahojiano hayo mwanajeshi huyo alipoulizwa na Mwakikagile ikiwa kulikuwa na "foreign power" ambayo ilihusika na mpango wa kupindua serikali, alisema hapana, lakini alikiri kwamba kulikuwa na "foreign funding." Professor Horace Campbell, Mjamaica aliyewahi kufundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), alisema ni serikali ya makaburu Afrika Kusini iliyohusika na mpango wa kumpindua Mwalimu Nyerere. Labda ndiyo hiyo "foreign funding" ambayo mwanajeshi huyo aliitaja.

Treason case investigations 'nearly ready'

Charles Kizigha, Daily News, Dar es Salaam, Tanzania​

4 – 7 – 1983​

INVESTIGATIONS into the treason case in which 30 armymen and civilians are charged of conspiring to cause death to the President of Tanzania, depose him and overthrow the government, were in advanced stage.

This was said by Senior Superintendent of Police Tatu Omari, prosecuting, before a packed court at Kisutu Resident Magistrates court in Dares Salaam yesterday.

SSP. Omari asked Chief Resident Magistrate Joseph Masanche to set the next mention on June 16, adding that the prosecution needed only two more mentions before moving to the preliminary inquiry (PI) stage.

“I will be in a better position to say exactly how far the investigations had proceeded during the next mention”, she told the court.

Chief Magistrate Masanche fixed June 17 as the next mention date because the defence counsels for some of the accused pleaded commitments at the High Court and other courts on the date suggested by the prosecution.

All the accused persons, excepting 9th accused Lt. Col. Martin Ngalomba (40) who was absent on "health grounds", were in court when the case came up for the 10th mention yesterday.

Accused Number Three Capt. Suleiman Metusela Kamando claimed in court that he was subjected to sufferings for reasons that he did not know. "For the three weeks that I spent at the Central Police Station , I was sleeping on the floor without a blanket. We get one meal a day at Ukonga Prison ... That is where I am now'', he said.

Capt. Kamando said his employer - Tanzania People's Defence Forces (TPDF) – had stopped paying his salary and had evicted his family from a TPDF house.

He asked the court to ensure that investigations were completed soonest so that the PI should start. He also asked for an advocate. Ndugu Masanche assured him that he would get one at a certain stage of the court proceedings.

The treason case involves 21 armymen and nine civilians. The 21 armymen include Three Lt. Cols.; one Major; eight Capts.; eight Lts. and one sergeant.

The three Lt. Cols. are Martin Peter Msami (36) of TPDF, Songea; Martin· Ngalomba (40) of TPDF Kisarawe and Protas Bachumbila Mchwampaka (40) of TPDF headquarters.

The only Major in the trials is Reverian Bubelwa (32) of TPDF Mgulani.

The captains are: Suleiman Metusela Kamando (36) a TPDF pilot; Vitalis Gabnel Mapunda (35); Dietrich Oswald Mbogoro (28); Rodric Roshan Roberts ·(39) ali of TPDF, Airwing; Zacharia Hans Poppe (26).

Others are Abdul Feshi Mketto (31) of TPDF Airwing; Harry Hans Poppe, (31) of TPDF Airwing and Manyama Athumani Kazukamwe (30) of Navy.

The Lts. include Badru Rwechungura Kajaja (32) of TPDF Infantry School in Nachingwea; Pascal Christian Chaika (29); John Alphonce Chitunguii (26) of TPDF Lugalo; Mark Augustine Mkude (28) of TPDF Dar es Salaam; John Simon Mbelwa Mzimba (33) of TPDF Kibaha.

Others are: Gervas B. Rweyongeza (36) of TPDF Kibaha; Othar Thomas Haule (33) of TPDF Kawe and Nimrod Theophil Faraji of TPDF Arusha.

The sergeant is Michael Mwigulu (32) of Kawe.

The civilians include a businessman, Pius Mtakubwa Lugangila alias Father Tom orUncle Tom (40) with the following addresses – l09A Golders/Green Road, London NW 11 UK; 4 Muguga Green, Westlands Nairobi; 51 Manor Drive, Wembley Park Middlesex UK/4 Roland Gardens South Kensington. He is the first accused.

Others are Hatty Magbee alias Hatibu Ghandi MacGhee (37) a pilot with Air Tanzania Corporation (ATC); Christopher Pastor Ngaiza (52) Personal Assistant to the President responsible for the Kagera Basin Affairs; Dar es Salaam Businessman Jayantilal Pragji Rajan (53); Robert Bayona (29), Sales Manager of Tanzania Shoes Company (Bora).

Others are Thadeo Boniface Mutakyawa Bugingo (37) of the University of Dar es Salaam; Ramadhani Otto (46), a mechanic at Bungoni Area in the city; George Banyikwa (38), a businessman resident at Drive-In Cinema area and Seleman Seif Nassoro, a Dar es Salaam businessman.

All the accused persons have been remanded in custody until June 17, when the case comes up for the eleventh mention.

Source:
Treason case investigations 'nearly r eady' – Nakala
https://www.nakala.fr/data/11280/b8290f88
 
Nyerere kisha taka kupinduliwa mara nyingi tu.

Ni watu walikuwa hawampendi, kadhulumu mali za watu, kuanzia majumba, mashamba, biashara. Akawa hajui kuongoza nchi, aliongoza kidikteta, atakacho yeye ndio hicho hicho, watu wakawa masikini wa kutupwa, kila mtu mnyonge na kadhoofika, kasoro watu wa mduara wake tu.

Kuna kupendwa hapo? Watu waliompenda ni wa kanisa katoliki tu kwani wao ndio aliwatumikia kwanza kuliko nchi, na hilo kalisema mwenyewe si maneno yangu hayo, anaebisha namwekea nukuu. Anza.
Lazima ujue wakati ule mapinduzi ndio ilikuwa style ya kubadili utawala kama kiongozi hatakiwi hata kama ni wachache.
Ustaarabu Wa sasa wanajeshi wakipindua wanatengwa na pengine baada ya kuondolewa wanashtakiwa ndio maana hayo huyaoni sasa.
Ingekuwa sio hivyo unadhani sasa hivi bado tungekuwa na utawala Wa kiraia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Did you know Hans Poppe spent more than 10 years behind bars? Nafikiri aliachiwa baada ya kuanza kwa vyama vingi. Hata hivyo ni mmoja ya watu wenye uwezo mkubwa kiakili na kwa jinsi anavyopeleka mambo, he was not a soldier by accident! ndio maana ameweza kujibadili na kuwa mfanyabiashara mkubwa kwa kipindi kifupi baada ya kutoka lupango.

Mbona kakimbia nchi tena?
Kulikoni?
 
Alichoandika Yericko eti Nyerere aliwasamehe waasi wa 1980s eti akawapa ubalozi sijui blah blah ni kamba mtupu.

Mmoja kati ya hao waasi ali-share kwenye magazeti hii story yake miaka haizidi sita iliyopita.

Jamaa yeye alitorokea Kenya na alikamatwa na kurudishwa Tz na wakafungwa lakini walitolewa baadae na huyo muasi msimuliaji aliachiwa akiwa gereza la Butimba na walikuwa wanajeshi vyeo vya chini tu.

Kipindi anatoa makala zile jamaa alikuwa Tabora akiwa choka mbaya hana chochote.

Ngoja nizitafute hizo makala.
Wewe unaongelea mapinduzi ya mwaka 1982 Yericko anaongelea ya mwaka 1964

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani simulizi samani ilikuwa inatolewa kwenye gazeti la Rai.. Ilikuwa nzuri saana... Sijui wap tunawezapata soft copy yake...
Hata kama kuna mtu ana hard copy yake Tuwasiliane.
 
Japo historia haisemi wazi juu ya mambo mengi sana Tanganyika na Tanzania ya leo, lakini Mwalimu Nyerere tangu awe kiongozi wa nchi hii amenusurika mapinduzi MATATU,

Moja ni la mwaka 1964, lapili ni la mwaka 1970 na la mwisho ni la mwaka 1980 (Sina uhakika sawa na hiyo miaka)

Jaribio la kwanza ndilo lilipelekea kuundwa kwa JWTZ na lilizimwa kwamsaada wa Malkia wa Uingereza aliyetuma makomandoo maalumu na wakafanikiwa, Jaribio la pili ndilo lililopelekea kuundwa kwa Usalama wa Taifa na kikosi maalumu cha ulinzi wa Rais,

na jaribio la mwisho ndio lilipelekea kubadili sera ya usalama wa Taifa kwa kuwapandikiza kila kwenye sekta na kuwa kila mtu ni mlinzi wa nchi hii (usalama)

Sikumbuki vema lakwanza kama liliongozwa na nani lakini Kambona ndie alimficha Mwalimu, lapili sikumbuki vema, lakini la mwisho liliongozwa na baadhi ya wanajeshi wa kikosi cha Anga cha Ukonga Banana,

Na mipango yao iliharibikia palepale Banana baa baada ya mmoja wao kulewa na kuanza kuongea hovyo hasa akisema yeye anataka cheo cha uwaziri mkuu!

Enzi hizo 1980+ mmoja wa makamanda wa usalama wa taifa aliyeongoza kuwadhibiti waasi hao ni Mabere Marandu,

Na alifanikiwa kuongoza oparesheni za kumsaka na kumuua mmoja wa makomandoo ambae alikuwa ameandaliwa rasmi kumuua Nyerere,

Mapambano yalikuwa ni makubwa kutoka airport hadi kinondoni ulipo ubalozi wa Marekani sasa ndipo walipofanikiwa kumuua!

Jambo la kuwashangaza waasi wale (wanajeshi) wote Mwalimu aliwaita ikulu,

akamwambia kiongozi wa mapinduzi yale (simkumbuki) kuwa

"Shika bunduki uniue wewe mwenyewe kwamkono wako ili uwe rais wa nchi hii"

jamaa aliomba radhi huku akitambaa kisha mwalimu akasema

"nimewasamehe wote"

na aliwapa vyeo na kazi, wengi walikwenda kuwa mabalozi wa Tz nchi za nje!

Sisi hapa tunasema kama porojo tu, lakini yapo mengi sana nyuma ya pazia!

Watawala wanahisi kuyataja ni kama kuharibu sifa ya Tanzania na wengine wanaona kama itaharibu sifa ya Mwalimu.

Mimi binafsi nafikiri kama yatasemwa hadharani yataongeza sifa ya Mwalimu Nyerere na utawala wa ccm ya kale!

Atakuwa ni kiongozi pekee barani afrika na duniani aliyenusurika majaribio matatu ya uasi,

Atakuwa ni kiongozi wa kwanza duniani kuwasamehe waasi kwa mda huohuo wa uasi (baada ya kuwakamata) na kuwapa kazi nyingine za kitaifa

Atakuwa ni kiongozi pekee duniani aliye ng'atuka kwa amani na kwenda kuishi kijiji tena bila hata ulinzi, akitembelea land rover ya shamba miaka mitano tu baada ya jaribio kali la mapinduzi ya Banana Ukonga!

Hizo zote zilikuwa ni sifa zake ambazo watawala wa leo kwa makusudi ama kwakujua au kutojua wamefifisha nyota ya mwana wa Afrika mbele ya uso wa mataifa!

Na kwakuwafahamisha tu ni kuwa mmoja ya wanajeshi hao walioasi ni Meja Gen Hans Popi yule mwenye Sams Super Store pale Mbezi Makonde!

Kwakupi hayo ndiyo ninayafahamu,
Nyerere alinusurika kupinduliwa Mara nane.....Zitto Kabwe
 
Back
Top Bottom