Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,196
- 113,481
Kwani ikiwa classified vipi, huwa hazitolewi au kukiwa na sababu gani?
Gaijin hujajibu swali la Mwanakijiji
Kwani ikiwa classified vipi, huwa hazitolewi au kukiwa na sababu gani?
Gaijin hujajibu swali la Mwanakijiji
Hilo ni jibu tosha licha ya kuwa limekuja na alama ya kuuliza.
Kina nani hao watu wanaohusiana naye na hayo mahusiano ni ya kivipi na ni watafiti gani wameziomba tena na tena hizo nyaraka na hawakuzipata? Bwana Marables ni mmoja wao?
Kwani ikiwa classified vipi, huwa hazitolewi au kukiwa na sababu gani?
Miaka ya Mwanzo Kambona alikuwa amejichanganya vizuri na watu wa kawaida kuliko Nyerere. Na miaka ilivyozidi kwenda Nyerere na Kawawa walimwiga Kambona jinsi ya kujichanganya na watu wa kawaida. Na Kambona alipoondoka kulikuwa na character assassination.
Vilevile watanzania tuna siasa za woga sana. Sioni sababu ya jina la Kambona kufutika katika mitahala ya shule kama vile hakuwepo.
tulikuwa tunazungumza sheria zetu za mambo ya classified materials; na Wamarekani nao wanazo na kwa miaka tofauti tofauti kutegemeana na terms za classification. Uliposema kuwa kuna nyaraka ambazo Wamarekani hawajaziachilia nilidhani umemaanisha kuwa terms zake za kuwa classified zimetimilika na zinatakiwa kuwekwa hadharani lakini serikali ya Marekani imekataa - kitu ambacho naamini kingeleta kesi za "freedom of information".
So.. hizi documents za Malcom X zilikuwa classified zisitolewe kwa muda fulani na muda huo umepita na serikali bado imekataa kuziweka hadharani na hakuna kesi ya Freedom of information ambayo imefikia mwisho?
Are you serious? Kweli kuelekea uhuru kuna mtu aliyekuwa amejichanganya na watu kuliko Nyerere? au miaka ya mwanzo una maana mara tu baada ya Uhuru?
Tulikuwa tunawekana sawa tu, manake kwanza uli-assume kuwa sheria hiyo ipo Tanzania (mpaka sasa hatuna ushahidi kuwa ipo, kwa miaka mingapi, kwa nyaraka za aina gani, zilizokuwa classified vipi)
Pili hukutoa angalizo lolote kuwa sio nyaraka zote tu zinaweza kutolewa ikiwa tu miaka imepita (kwa Marekani ni miaka 25 na sio 30)
Binafsi niliweka neno "automatically" kuonyesha kuwa sio kila nyaraka huwa inatolewa wazi, ambalo ndilo hili ulilokiri hapa.
Alijichanganya na Waislaam wa Kariakoo na Gerezani, waasisi wa AA, TAA na TANU.
Are you serious? Kweli kuelekea uhuru kuna mtu aliyekuwa amejichanganya na watu kuliko Nyerere? au miaka ya mwanzo una maana mara tu baada ya Uhuru?
I will go with Kambona.
Vimada na nyumba ndogo, wachuchu na vichuchu, Nation of Islam na nation of bodyguards....
We Gaijin Marables, source ya hayo yote ni Manning Marables?
yeah hakujichangana na Wakristu wa Kariakoo wala Wakristu wengine waliokuwa waasisi wa AA, TAAA, na TANU. I agree.