Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Companero,
Si kweli kwamba Oscar ndiye aliyemwokoa na kumficha Mwalimu katika mapinduzi ya 1964. Huyu mtafiti amekosea. Nadhani Kawawa alikuwa na jukumu kubwa zaidi kumshawishi Mwalimu kujificha kuliko Kambona. Kambona hakujua alipofichwa Mwalimu.
Mkuu give credit where it is due, Kambona ndiye aliyemsaidia Nyerere. Na ndio maana tunasisitiza kuwa hawa walikuwa washikaji hadi Nyerere akawa ndiye aliyemtoa bibi harusi wa Kambona siku ya harusi yake. Picha zipo zimejaa tele kwenye gazeti la Drum mlilolifungia!