Jaribio la kumtoa Spika Ndugai ni la hatari kuliko linavyochukuliwa

Kwa taarifa yako mtandao wa ndugai bungeni Ni wale covid 19 ambao nao wameanza kusaliti , kwanza kwa kumnyima ngono zembe na pia kusema hadharani
Kwa akili zao hao covid 19 wanajua hata akitoka Ndugai watabaki salama? Au Ndugai ataiacha hiyo mbeleko yakuwabebea, wao watulie wasije wakatoka wote.
 
That is the way they have fabricated our minds. We, as a result, see wrong as right and right as wrong.
I see it as the reality. The government organs are embedded in the ruling party in a very complex manner. But there's always a way out of this pit we're in.
 
Baada ya jana Rais kuwasifia hadharani wenyeviti wa CCM wa baadhi ya mikoa aliowatuma kumjibu Ndugai sasa wanafiki wote wanajitokeza.
Si alisema anapanga safu mpya, lazima wajikombe kombe
 
Mababu na Mababa zetu enzi za Uhuru wangekuwa kama hawa Chawa tungekuwa tunasema Not Yet Uhuru....

Yaani hawa vijana hakuna mwenye jipya zaidi ya kuwa Cheer Leader wa Kiongozi..., ni mashindano ya nani anaunga mkono juhudi zaidi ila sio nani anaboresha juhudi kwa mawazo mbadala....
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly, na kukuongozea tu kile kinacho onekana chepesi ndicho kizito Zaid kuliko kile kinacho onekana kizito, think Big,

Tufanye kura zimepigwa na za Siri na ikaonekana hazijatosha, unajua nn kinafuata?? Wanajua mambo mengi husema maji mapesi kupita huwa siyo yaliyotuama,, Bali yenye maporomoko, achen kabisa kulichukua hili Jambo kimzaha, litaghalim nafasi ya madam president.

Na ujue hatujawahi kuwa na uzoefu wakumpigia spika kula ya kutokuwa na imani nae, kumbuka kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu..
Unajisumbua sana spika ana ng'oka
 
Mwanasheria mbobevu kama huna watu wewe ni takataka kwenye siasa.
Muulze lisu.
Ukweli yule mwanasheria watu alikua hana ila sasa anao kwasabu uchaguzi ujao hauko mbali! Hawa kina zungu wanajifanya wapo kwa spika lakin ikipigwa kura ya wazi wote wataufyata! Najua kimbisa anawapa ujasiri lakin hamtaweza! Ujasiri alikua nao peke yake na baadae kalegeza
 
Hahaha jidanganye Nyerere was very intelligent alitengeneza mfumo raisi na mwenyekiti wa CCM kuwa. Na nguvu kuliko chchte kile ukijuacho.. Ndugai nguvu azitoe wap tena asiombe atoke kwene Chama ndo watamsaga meno... Hakuna aliewai kutoka CCM na akawa a nguvu aliweza walau lowassa kuisumbua CCM ila ndugai he is just a crap
Tena atulie humo humo
 
Ukweli yule mwanasheria watu alikua hana ila sasa anao kwasabu uchaguzi ujao hauko mbali! Hawa kina zungu wanajifanya wapo kwa spika lakin ikipigwa kura ya wazi wote wataufyata! Najua kimbisa anawapa ujasiri lakin hamtaweza! Ujasiri alikua nao peke yake na baadae kalegeza
Kura ya wazi ndio itakayo muokoa mama kwa sababu ya soni.
 
Spika siyo cheap kama watu wanavyofikiria...Spika ana mtandao wake mkubwa sana ndani ya CCM na serikali.. Spika ana nguvu isiyo ya kitoto. Hata mle ndani Bungeni ana safi yake kubwa sana.


Unaweza kuunda zengwe la kumtoa likafeli, then nini kitajili? Kwa kifupi ni mchezo wa hatari sana.

Spika anao uwezo wa kubadili hali ya hewa ya hii nchi kuanzia Bungeni ambayo itaathiri Baraza la Mawaziri na watendaji wengi tu wa serikali.


Hilo jaribio likifeli, Wabunge wanaopiga kelele wanaoingia ulingoni Uchaguzi Mkuu ujao chini ya Kamati Kuu (CC) watakuwa na wakati mgumu sana.


Ni sawa na kumshika simba sharubu.

Muda utaongea.View attachment 2069578View attachment 2069579View attachment 2069580
Kuna tofauti kubwa kati ya nafasi ya uspika na spika Ndugai. Hakika spika kwa nafasi yake kama mkuu wa muhimili ni position kubwa sana lakini kwa upande mwigine kuna Job Ndugai ambai ni spika.
 
Spika siyo cheap kama watu wanavyofikiria...Spika ana mtandao wake mkubwa sana ndani ya CCM na serikali.. Spika ana nguvu isiyo ya kitoto. Hata mle ndani Bungeni ana safi yake kubwa sana.


Unaweza kuunda zengwe la kumtoa likafeli, then nini kitajili? Kwa kifupi ni mchezo wa hatari sana.

Spika anao uwezo wa kubadili hali ya hewa ya hii nchi kuanzia Bungeni ambayo itaathiri Baraza la Mawaziri na watendaji wengi tu wa serikali.


Hilo jaribio likifeli, Wabunge wanaopiga kelele wanaoingia ulingoni Uchaguzi Mkuu ujao chini ya Kamati Kuu (CC) watakuwa na wakati mgumu sana.


Ni sawa na kumshika simba sharubu.

Muda utaongea.View attachment 2069578View attachment 2069579View attachment 2069580

Mikutano ya vyama vya siasa si imekatazwa
 
Spika siyo cheap kama watu wanavyofikiria...Spika ana mtandao wake mkubwa sana ndani ya CCM na serikali.. Spika ana nguvu isiyo ya kitoto. Hata mle ndani Bungeni ana safi yake kubwa sana.


Unaweza kuunda zengwe la kumtoa likafeli, then nini kitajili? Kwa kifupi ni mchezo wa hatari sana.

Spika anao uwezo wa kubadili hali ya hewa ya hii nchi kuanzia Bungeni ambayo itaathiri Baraza la Mawaziri na watendaji wengi tu wa serikali.


Hilo jaribio likifeli, Wabunge wanaopiga kelele wanaoingia ulingoni Uchaguzi Mkuu ujao chini ya Kamati Kuu (CC) watakuwa na wakati mgumu sana.


Ni sawa na kumshika simba sharubu.

Muda utaongea.View attachment 2069578View attachment 2069579View attachment 2069580


Hayo uliyosema ni kweli lakini Si kwa spika Ndungai, mlafi, mchumia tumbo, Na mnafiki
Hawezi kufanya chochote Na Kuna watu watamdhibiti humohumo ndani ya CCM Na nje yake . Usitishe Bure vijana kwa boya hilo
 
Walivyopangana sasa; Mrisho,Omary,Abdalla,n.k wote wako kwa Samia dhidi ya Job 'mzee wa Nazareti'🤣🤣🏃‍♂️

Inabidi awamu hii nibadili jina niwe Abdallah uenda mambo yakaniendea poa
Wacha fitina kafiri
 
Mbona unaongea pumba jeshi litapinga hicho kifungu cha katiba?
Uraisi amepewa na katiba sio jeshi, na ndio maana
huwa wanapambana kuiba kura wapate uhalali wa kulindwa na katiba kuwa ni washindi na sio jeshi.
Kichwa maji umesikia.
Hivi hukuona jeshi mitaani wakati wa kila chaguzi??? Kuna kufuata katiba TZ?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom