Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 19,350
- 2,000
Kwa akili zao hao covid 19 wanajua hata akitoka Ndugai watabaki salama?Kwa taarifa yako mtandao wa ndugai bungeni Ni wale covid 19 ambao nao wameanza kusaliti , kwanza kwa kumnyima ngono zembe na pia kusema hadharani


