GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Hawa Jamaa kila ' Promo ' yako lazima itakuwa na Kishindo Kikubwa. Hongera sana Kwao Clouds Media Group kwani inaonyesha kuwa wana Vichwa hatari katika Masuala mazima ya ' Promo ' na sishangai Kuona kila Tamasha ambalo huwa wanaliandaa Wao basi ni lazima tu ' Nyomi ' lake litakuwa Kubwa na Ukumbi huwa hautoshi.
Nina uhakika wa 100% kwa Uimara walionao Clouds Media Group hasa katika Kufanya ' Promo ' hata lile Tamasha la Wasafi ambalo lilikuwa chini ya Msanii Diamond ( Chibu Dangote ) kama angeacha na ' Uswahili ' wake na angewapa Clouds Media Group wampigie ' Promo ' basi angepata Watu wengi pale Viwanja vya Posta Kijitonyama kuliko wale ' Kiduchu ' aliowaokota na kuwabahatisha.
Ushauri wangu mkubwa kwa Uongozi mzima wa Clouds Media Group kama itaona inafaa hebu fikirieni uwezekano wa Kuanzisha Chuo ' Maalum ' tu cha Kufundisha mambo ya ' Promo, PR, Marketing and Entertainment ' nchini Tanzania kwani nina uhakika kuwa mtawapata Watu wengi na mtaambukiza huo Uwezo wenu mkubwa kwa Kizazi cha Kitanzania.
Kuna muda hata Mimi huwa ' mnanikera ' kweli kweli ila sitaki nisiwape Pongezi zenu au niwe Mchoyo wa Kuwasifieni hasa pale ambapo naona kabisa kuwa mnafanya vyema na mpo vizuri sana. Ni kweli naweza nisikute Bachelor Degrees, Masters Degree na hata Doctorates nyingi hapo Clouds Media Group ila nikakutana na Watu wenye ' Vipaji / Talanta ' ambavyo vina Thamani na Umuhimu mkubwa kuliko hata Wanataaluma ( Academicians ) tunaojitapa ' Kipopoma ' zaidi.
Nawakubali mno na sana Clouds Media Group na kwa ' Promo ' hii nina uhakika hiyo Tarehe 8 December 2019 Uhuru patafurika!
Nina uhakika wa 100% kwa Uimara walionao Clouds Media Group hasa katika Kufanya ' Promo ' hata lile Tamasha la Wasafi ambalo lilikuwa chini ya Msanii Diamond ( Chibu Dangote ) kama angeacha na ' Uswahili ' wake na angewapa Clouds Media Group wampigie ' Promo ' basi angepata Watu wengi pale Viwanja vya Posta Kijitonyama kuliko wale ' Kiduchu ' aliowaokota na kuwabahatisha.
Ushauri wangu mkubwa kwa Uongozi mzima wa Clouds Media Group kama itaona inafaa hebu fikirieni uwezekano wa Kuanzisha Chuo ' Maalum ' tu cha Kufundisha mambo ya ' Promo, PR, Marketing and Entertainment ' nchini Tanzania kwani nina uhakika kuwa mtawapata Watu wengi na mtaambukiza huo Uwezo wenu mkubwa kwa Kizazi cha Kitanzania.
Kuna muda hata Mimi huwa ' mnanikera ' kweli kweli ila sitaki nisiwape Pongezi zenu au niwe Mchoyo wa Kuwasifieni hasa pale ambapo naona kabisa kuwa mnafanya vyema na mpo vizuri sana. Ni kweli naweza nisikute Bachelor Degrees, Masters Degree na hata Doctorates nyingi hapo Clouds Media Group ila nikakutana na Watu wenye ' Vipaji / Talanta ' ambavyo vina Thamani na Umuhimu mkubwa kuliko hata Wanataaluma ( Academicians ) tunaojitapa ' Kipopoma ' zaidi.
Nawakubali mno na sana Clouds Media Group na kwa ' Promo ' hii nina uhakika hiyo Tarehe 8 December 2019 Uhuru patafurika!