Ratiba yangu ya siku ya leo
1. Naenda shule ya sec. Kimandolu kupiga kura.
2. Naingia kanisani kujumuijka na wenzangu ibada ya pili kumwomba Mungu leo mabomu yawalipukie wao wenyewe.
3.Kurudi eneo la kupig kura kuhakikisha hakuna anayepita na hot pot na chupa za chai za kura feki kama Arumeru mashariki.
1. Naenda shule ya sec. Kimandolu kupiga kura.
2. Naingia kanisani kujumuijka na wenzangu ibada ya pili kumwomba Mungu leo mabomu yawalipukie wao wenyewe.
3.Kurudi eneo la kupig kura kuhakikisha hakuna anayepita na hot pot na chupa za chai za kura feki kama Arumeru mashariki.