Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Inawekana kabisa hata wao wote wawili au mmoja wao walitamani wajiongezee muda ila walisita na inawezekana pia wote wawili hawakuwa na nia wala mpango kama huo bali waliona ni busara kuheshimu katiba.
Sasa iwapo walitamani lakini wakasita, au hawakutamani ila waliamua tu kuheshimu Katiba,watafurahia kuona mwenzao anafanya kinyume na wao?
Je,watakaa kimya?
Maswali ya ziada:
Na wana-CCM ambao kwa sasa wako nje ya system,nao wataunga mkono?
Spika Ngugai,Mbunge Ally Kesi na wengine wanaotetea hoja hii Bungeni, wakikosa ubunge,wataendelea kutetea jambo hili wakiwa kama raia wa kawaida hasa ikitokea wanashindwa katika hatua ya kura ya maoni?
Muda utatupa jibu juu ya maswali yote haya.
Mzee Mwinyi,kwa jinsi navyomuona,nimona nimuache tu.
Sasa iwapo walitamani lakini wakasita, au hawakutamani ila waliamua tu kuheshimu Katiba,watafurahia kuona mwenzao anafanya kinyume na wao?
Je,watakaa kimya?
Maswali ya ziada:
Na wana-CCM ambao kwa sasa wako nje ya system,nao wataunga mkono?
Spika Ngugai,Mbunge Ally Kesi na wengine wanaotetea hoja hii Bungeni, wakikosa ubunge,wataendelea kutetea jambo hili wakiwa kama raia wa kawaida hasa ikitokea wanashindwa katika hatua ya kura ya maoni?
Muda utatupa jibu juu ya maswali yote haya.
Mzee Mwinyi,kwa jinsi navyomuona,nimona nimuache tu.