Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Umri utakuwa ushamtupa,vipi Kama aliyepo akaenda Hadi 2040, madaraka ni matamu kwa mwafrika ni ngumu Sana kuachia thus unaona Africa inawaka Moto kila sehemu kugombea kunufaika na Kodi za wananchi.Maana Hakuna biashara yenye ubilionea Mkubwa Kama uraisiKama JPM akiendelea kuna uwezekano JK nae akaja kungombea tena