Japo wako kimya, Mkapa na Kikwete wanaridhika na hoja ya kutaka kumuongezea muda Magufuli?

Kila zama na zama zake, wao kila mmoja wao alikuwa na zama yake, ukimaliza zama yako inakuwa imepita, unatulia na kujilia vizuri pensheni yako, ya zama ya mwenzio unamwachia mwenyewe.

Aliyetaka katiba ibadilishwe ili Magufuli aendelee sio Magufuli ni Mbunge na Spika akaridhia kuwa hoja hiyo iletwe Bunge lijalo, lakini rais Magufuli hajataka yeye, na hata hoja hiyo ikiletwa na ikapita, maadam rais Magufuli aliisha toa msimamo wake kuhusu hili, then muda wake ukifika hatazidisha hata sekunde moja!.
P
Unakuwa kama hujui madikteta? Kumbuka kutanguliza mtoto mdogo kuziba njia ya mkubwa tena kwa dharau! Mihimili itatangulizwa. Dikteta atagoma kukubali! Maandamano feki nchi nzima yatafanyika. Dikteta atakubali kwa shingo upande. P. kwa maslahi ya taifa atauliza kama tuna haja na uchaguzi tena. Maigizo. Unashindwa kusoma script kuanzia Nkamia hadi hii ya Kessy? Wote lao/kesi wakamia!
 
Hawawezi kuwajibu wapumbavu hawa.. jambi hilo lipo kwenye vikao vyao
Inawekana kabisa hata wao wote wawili au mmoja wao walitamani wajiongezee muda ila walisita na inawezekana pia wote wawili hawakuwa na nia wala mpango kama huo bali waliona ni busara kuheshimu katiba.

Sasa iwapo walitamani lakini wakasita, au hawakutamani ila waliamua tu kuheshimu Katiba,watafurahia kuona mwenzao anafanya kinyume na wao?

Je,watakaa kimya?

Maswali ya ziada:

Na wana-CCM ambao kwa sasa wako nje ya system,nao wataunga mkono?

Spika Ngugai,Mbunge Ally Kesi na wengine wanaotetea hoja hii Bungeni, wakikosa ubunge,wataendelea kutetea jambo hili wakiwa kama raia wa kawaida hasa ikitokea wanashindwa katika hatua ya kura ya maoni?

Muda utatupa jibu juu ya maswali yote haya.

Mzee Mwinyi,kwa jinsi navyomuona,nimona nimuache tu.
 
Wazaramo walonga vilongwa mbali vitendwa mbali,kwa mtazamo tu huyu bwana hii nafasi anaitamani sana kwa maneno na vitendo pia.Muda utaongea
Kila zama na zama zake, wao kila mmoja wao alikuwa na zama yake, ukimaliza zama yako inakuwa imepita, unatulia na kujilia vizuri pensheni yako, ya zama ya mwenzio unamwachia mwenyewe.

Aliyetaka katiba ibadilishwe ili Magufuli aendelee sio Magufuli ni Mbunge na Spika akaridhia kuwa hoja hiyo iletwe Bunge lijalo, lakini rais Magufuli hajataka yeye, na hata hoja hiyo ikiletwa na ikapita, maadam rais Magufuli aliisha toa msimamo wake kuhusu hili, then muda wake ukifika hatazidisha hata sekunde moja!.
P
 
Hao wakishahakikishiwa mafao yao na watoto wao kupewa vyeo basi hawana mpango na mustakbali wa nchi!. Hao siyo Calibre ya Nyerere aliyekuwa na balls za kusimama na kumwambia bwana mkubwa kuwa No hili si sawa!
 
Unakuwa kama hujui madikteta? Kumbuka kutanguliza mtoto mdogo kuziba njia ya mkubwa tena kwa dharau! Mihimili itatangulizwa. Dikteta atagoma kukubali! Maandamano feki nchi nzima yatafanyika. Dikteta atakubali kwa shingo upande. P. kwa maslahi ya taifa atauliza kama tuna haja na uchaguzi tena. Maigizo. Unashindwa kusoma script kuanzia Nkamia hadi hii ya Kessy? Wote lao/kesi wakamia!
acha ramli.ni uchawi
 
Inawekana kabisa hata wao wote wawili au mmoja wao walitamani wajiongezee muda ila walisita na inawezekana pia wote wawili hawakuwa na nia wala mpango kama huo bali waliona ni busara kuheshimu katiba.

Sasa iwapo walitamani lakini wakasita, au hawakutamani ila waliamua tu kuheshimu Katiba,watafurahia kuona mwenzao anafanya kinyume na wao?

Je,watakaa kimya?

Maswali ya ziada:

Na wana-CCM ambao kwa sasa wako nje ya system,nao wataunga mkono?

Spika Ngugai,Mbunge Ally Kesi na wengine wanaotetea hoja hii Bungeni, wakikosa ubunge,wataendelea kutetea jambo hili wakiwa kama raia wa kawaida hasa ikitokea wanashindwa katika hatua ya kura ya maoni?

Muda utatupa jibu juu ya maswali yote haya.

Mzee Mwinyi,kwa jinsi navyomuona,nimona nimuache tu.
Hoja ya kuongezewa muda hata Rais Mkapa akiwa madarakani ilitolewa na mmoja wa mawakili nguli Masumbuko Lamwai na wengine wengi. Rais Mkapa aliheshimu katiba na kuondoka madarakani.
Hoja ya kuongeza muda wakati wa JK napo iliibuka, yet JK akaheshimu katiba.

Nataka kuamini JPM ni mtu muungwana na mara kwa mara amekuwa akijinasibu kuunga mkono mema mengi yalioasisiwa na Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere. Kwa kuwa Mwl. Nyerere alikuja na hoja ya kutaka Rais akae madarakani kwa mihula miwili 5+5; bila shaka JPM akaondoka madarakani 2025 baada ya uchaguzi mkuu.

Tanzania imekuwa nchi ya mfano wa kukabidhi madaraka na wanaokabidhi madaraka wakaishi kwa amani pasi kubugudhiwa na kutokea kwenye hafla mbalimbali pale inapohitajika.

Tujipe muda, nadhani, mzee atakuwa anapatikana Chato mara baada ya kumaliza ungwe yake.
 
Mkwere hawezi kuacha kumpigia chapuo yule niguse ninuke Memba tunaambiwa ni dugu yake baba moya mama moya , dugu wa damu nae Mkaa hapa anafagilia kiroho Mkulu aongezwe muda sababu za kidini na kiseminari! bongo raia akili kubwa!
 
Acha kabisa hiki kichwa! Mwalimu Nyerere ni wa pekee mno na mwenye akili sana. Alichosema ndicho kinachotokea sasa kwa majuha yenye maji ya madafu kichwani badala ya ubongo ndani ya kitchen party ya mgogo ndugai.
Nae mwl alitukosea sana maana alikuwa na uwezo wa kutufanya tubadili hii katiba inayotutesa sasa.
 
Hawa watu wamekuwa disappointment kubwa sana. Baada ya kutuletea hili balaa kubwa sana Nchini wamekuwa kimya sana ukiondoa mara chache ambazo wamezungumza juu juu bila kuweka msisitizo wa nguvu kisha kuingia mitini kwa kipindi kirefu huku dikteta akiendelea kuchezea katiba, Bunge na mahakama.
Na jamaa kawapoza kwa kuwapa zawadi ya ndege Tausi kila mmmoja wao.
 
Unakuwa kama hujui madikteta? Kumbuka kutanguliza mtoto mdogo kuziba njia ya mkubwa tena kwa dharau! Mihimili itatangulizwa. Dikteta atagoma kukubali! Maandamano feki nchi nzima yatafanyika. Dikteta atakubali kwa shingo upande. P. kwa maslahi ya taifa atauliza kama tuna haja na uchaguzi tena. Maigizo. Unashindwa kusoma script kuanzia Nkamia hadi hii ya Kessy? Wote lao/kesi wakamia!
Achana na huyo mkabila anajua kila kitu ila anajifanya hajui na anafikiri sisi ni wajinga hatujui kinachoendelea.Hao wabunge Magu ndio anawatumia kukamilisha mipango yake ila wacha tuone mwisho wake utakuwaje.
 
Kama yeye ni kiongozi mzuri basi amtengeneze atakae weza kuvaa viatu vyake, kung'ang'ania madaraka ni moja ya ushamba wa hali ya juu kabisa duniani
 
Inawekana kabisa hata wao wote wawili au mmoja wao walitamani wajiongezee muda ila walisita na inawezekana pia wote wawili hawakuwa na nia wala mpango kama huo bali waliona ni busara kuheshimu katiba.

Sasa iwapo walitamani lakini wakasita, au hawakutamani ila waliamua tu kuheshimu Katiba,watafurahia kuona mwenzao anafanya kinyume na wao?

Je,watakaa kimya?

Maswali ya ziada:

Na wana-CCM ambao kwa sasa wako nje ya system,nao wataunga mkono?

Spika Ngugai,Mbunge Ally Kesi na wengine wanaotetea hoja hii Bungeni, wakikosa ubunge,wataendelea kutetea jambo hili wakiwa kama raia wa kawaida hasa ikitokea wanashindwa katika hatua ya kura ya maoni?

Muda utatupa jibu juu ya maswali yote haya.

Mzee Mwinyi,kwa jinsi navyomuona,nimona nimuache tu.
Watafanya nn Hali nao ni wapenzi watazamaji,labda tu Kama wangekuwa si wanufaika wa udhalimu.Hata Nyerere angekuwepo angefungwa mdomo.
Tulishakosea kwenye katiba,mfumo sahihi ulitakiwa Kama ule wa ANC South Africa yaani mwenyekiti asiwe na nguvu kuliko wanachama au chama.Kuunganisha kofia mbili ni makosa makubwa Sana.Mfumo wa ANC ukikikosea chama hata Kama wwe ni raisi unafutwa uanachama na ukifutwa uanachama na uraisi unakoma yaani chama kuwa na nguvu kuliko mwenyekiti.
Kiuhalisia sisi waafrika kujiongoza bado sana thus hatuwezi tatua matatizo yetu bila kuuwana.Mwafrika yeyeto bila kumuwekea mfumo wa kumdhibiti ni lzm atawaumiza watu, sababu hatuna ile self discipline yaani kuthamini ile thamani uliyoaminiwa na wengi kuchagua ili uwalipe kwa kuwatumikia, tofauti na wenzetu.Sisi ndio kwanza unawaona waliokuchagua hawana akili wamekupa haki ya kuwaswaga Kama mbuzi.Thus hatuwezi endelea.
 
Inawekana kabisa hata wao wote wawili au mmoja wao walitamani wajiongezee muda ila walisita na inawezekana pia wote wawili hawakuwa na nia wala mpango kama huo bali waliona ni busara kuheshimu katiba.

Sasa iwapo walitamani lakini wakasita, au hawakutamani ila waliamua tu kuheshimu Katiba,watafurahia kuona mwenzao anafanya kinyume na wao?

Je,watakaa kimya?

Maswali ya ziada:

Na wana-CCM ambao kwa sasa wako nje ya system,nao wataunga mkono?

Spika Ngugai,Mbunge Ally Kesi na wengine wanaotetea hoja hii Bungeni, wakikosa ubunge,wataendelea kutetea jambo hili wakiwa kama raia wa kawaida hasa ikitokea wanashindwa katika hatua ya kura ya maoni?

Muda utatupa jibu juu ya maswali yote haya.

Mzee Mwinyi,kwa jinsi navyomuona,nimona nimuache tu.
Awawezi kutetea sababu maslai yao yameguswa,hao hawawezi ishi nje ya siasa ni lzm watakufa njaa.
 
Kila zama na zama zake, wao kila mmoja wao alikuwa na zama yake, ukimaliza zama yako inakuwa imepita, unatulia na kujilia vizuri pensheni yako, ya zama ya mwenzio unamwachia mwenyewe.

Aliyetaka katiba ibadilishwe ili Magufuli aendelee sio Magufuli ni Mbunge na Spika akaridhia kuwa hoja hiyo iletwe Bunge lijalo, lakini rais Magufuli hajataka yeye, na hata hoja hiyo ikiletwa na ikapita, maadam rais Magufuli aliisha toa msimamo wake kuhusu hili, then muda wake ukifika hatazidisha hata sekunde moja!.
P
Ukimuona mwanasimba anarukaruka jua mama yake yupo jirani.Huu ni mchakato tangu 2015.
Asiye na nia ya kuongeza mda hawezi taka uwa upinzani,minya demokrasia,zuia Uhuru wa habari, wasiojulikana,teuzi za ukabila na ukanda, kujenga ikulu mpya,kauli za kujirudia rudia za kuongeza muda.Ukiviconnect hivi jibu unapata .
Salama pekee ya watz ni kumkataa kwa nguvu zote October.Au la maamuzi wanayo wananchi Kama wataona ni sawa Basi wajitokeze kwa wingi Sana kumchagua October.So wananchi ndio wenye maamuzi.
 
Back
Top Bottom