Japo niridhike

Duh wanawake bana, huku keshachakachuliwa na mfanyabiashara mashuhuri (sijui mwarabu ama muhindi?) kule mtoto siyo wake (sijui wa kichina?) matatizo kweli

Sijui hata kama walikumbuka kupima ukimwi waliporudiana
Kasheshe kweli uuuuuuuuuuuuuuuwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mbona uyasemi ya bwana uko kwa hawara walikumbuka kinga?
nyie bwana ivi mnaona wanawake vtunguu ennh?
nan mwanzilish wa ujinga u?uyo dada asi kaakt kutokana namatendo ya mumewe?uwez waza juu ya sababu wewawaza tu mwanamke kafanyaje..we kimbweka wewenakulia pushap apa nikikukamata wafwaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Ulishawahi kuona mtu anapenda kuambiwa uongo au kudanganywa wewe uliona wapi. Hapo haambiwi ukweli mtu hata kwa ncha ya upanga. Hasemi ila aachane na mfanyabiashara wewe acha mchezo kabisa wanaume wanapenda kuiba lakini kuibiwa BIG NOOOOO

Dena please, changia mda basing on the facts of the case presented by nyamayao na si katika mazoea, hapa ni sawa na habari ya mwana mpotevu ktk bible, yaani baada ya kugundua kuwa alipotea njia , amerudi na kuomba msamaha ,na akasema ukweli, that means anataka maisha mapya na ya furaha, sasa naye amesikia mkewe wanamgongea, kwa kuwa yeye ameacha hako kamchezo basi nae msameheni kwa kumueleza ukweli, tuache kuishi kwa mazoea, kwangu huyo mke nae chizi, yaani aliapply formla ya dawa ya moto ni moto badala ya maji sasa kazi anayo, we unasema amwache mfanya biashara wakati jamaa nae kawekeza mjumba, na watoto wanasoma kwa hela yake, unadhani jamaa atatema mzigo kiulaini kwa maneno tu, acha hiyo mambo bwana
 
Msamaha wa kweli unakuja kwa kuzaliwa upya kwa kila mmja kutubu madhambi yake na kuacha no stone untouched ktk past life, muwe wapya kila mmja atamjua mwenzie ujinga wake upo wapi. kweli wanawake ni wakatili, yaani hata kama mtu kajirudi hamsamehi

samahani kaka umeoa?.....ukatili huwa mnauanzasha nyie sie tunafanya kumalizia tu, imagine mume wako mpenzi umezaa nae watoto wawili wazuri anakuja kukutelekeza wewe na watoto bila huruma, unamuomba mkae chini akueleze bac tatizo limetokea wapi ili m solve mrudie ndoa yenu tamu inakuwa ugomvi na akitoka hapo harudi home week nzima, na akija ni anachukua nguo wenye begi za kurudi kwa hawara...wewe wewe wacha kabisa....mkilianzisha mjue kulimalizia....hiyi nyumba aliyonjengea hawara na biznec kubwa aliyomfungulia ambayo niliishuhudia mie pia, nilifanya kwenda hapo kumjua huyo hawara mwenye kumtesa rafiki yangu kihivyo, vyote hivyo angewekeza kwenye familia yake mambo yangekuwa matamu zaid i kuliko majuto anayoyapata sasa hivi.
 
rose hebu mwambie bwana huyu hajui maumivu yake. Mie nashangaa kujirudi baada ya small house kuharibu? Kasemi mtu hapo bwana

uo si msamaha yan acha tu
umerud apa kwasababu hawara kakutimua?mngekuwa poa ungenikumbuka?
ahh wap
LAKIN MDADA APO ATUMIE HURUMA YA KIKE ..AFANYE I ISSUE IMEKWISHA..NAYEYE PIA APUNGUZE SPD KWA MFANYABIASHARA AFU WAENDELEZE MAISHA NA MMEWE.
 
Co wote dena amsi, Iam a man na napenda kuambiwa ukweli,hebu toa hizo preconcieved ideas kichwani mwako,kama mtu amebeg for the truth c dhani kama anataka jingine zaid ya suluhu ya kweli

huyo ni wewe, nani ana hakika kwamba mume akickia hayo atayakubali na kuyasamehe? kama hata mke wake angekuwa nahichivyo nadhani jana jana angemwambia ukweli, nimeongea na mr wangu asubuhi hii unajua kitu alichoniambia? angekuwa yeye ni fulani(mume) acngetaka kujua mambo yaliyokuwa yanayoendelea coz yangeambatana na kifungo...watu wapo tofauti jamani.
 
et kajirud..kajirud afta machafuko ya awala?
unajua kujirud weew?unajirud katika fare ground ...thats upo poa na hawara yako sema tu unasemayatosha nw naenda kumwangukia mke wangu...apo sawa lakin si km ivi kajirud afta kubaraswa kwa vitendo na hawwara:nono::nono::nono:
yaaan km vile mlev anakwambia ...KUANZIA LEO NIMEACHA POMBE wakat ameishiwa hana ata sent ..wat do u thk akizipata?i nia kaitoa kwa dhat au out of option?
aahh mazingira ya msamaha ndo yananitatiza jeee km wangekuwa hawajagombana na hawara yake akili ya kumrudia mke wake ingekwepo??????????????THK TWCE

Wewe elimu ya methali imekupitia kando, hujui kuwa Amani haiji ila kwa ncha ya upanga
 
Dena please, changia mda basing on the facts of the case presented by nyamayao na si katika mazoea, hapa ni sawa na habari ya mwana mpotevu ktk bible, yaani baada ya kugundua kuwa alipotea njia , amerudi na kuomba msamaha ,na akasema ukweli, that means anataka maisha mapya na ya furaha, sasa naye amesikia mkewe wanamgongea, kwa kuwa yeye ameacha hako kamchezo basi nae msameheni kwa kumueleza ukweli, tuache kuishi kwa mazoea, kwangu huyo mke nae chizi, yaani aliapply formla ya dawa ya moto ni moto badala ya maji sasa kazi anayo, we unasema amwache mfanya biashara wakati jamaa nae kawekeza mjumba, na watoto wanasoma kwa hela yake, unadhani jamaa atatema mzigo kiulaini kwa maneno tu, acha hiyo mambo bwana

nGOJA YAKUKUTE NDO UTAJUA
 
huyo ni wewe, nani ana hakika kwamba mume akickia hayo atayakubali na kuyasamehe? kama hata mke wake angekuwa nahichivyo nadhani jana jana angemwambia ukweli, nimeongea na mr wangu asubuhi hii unajua kitu alichoniambia? angekuwa yeye ni fulani(mume) acngetaka kujua mambo yaliyokuwa yanayoendelea coz yangeambatana na kifungo...watu wapo tofauti jamani.

Hapa hatuzungumzii wakwako bali wa shoga yako, wa kwako muachie wa kwako- ya ngoswe kuitwa ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe, kama mtoto kalilia wembe c apewe
 
Nyamayao endelea na msimamo huo huo kuwa asithubutu kumwambia kabisa huyo mumewe ila tu apunguze taratibu mwendo wa mfanyabiashara kisha aache kabisa lakini kumbwamiba BIG NOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Kama bado anampenda mme wake asiongee chochote maana wanaume sio wavumilivu kama wanawake.
Daah mbona maisha ya ndoa yako namna hii jamani ..kasheshe kasheshe..
Na huyo mwanaume nae asingegundua maovu ya huyo mwanamke mdogo ni kwamba wasingeachana ..?
Mwambie asilogwe akasema labda wakati anatubu dhambi zake nafsi ikiwa inakaribia kuachana na mwili
 
pole my luv....hapana! hapana coz anasema mume amerudi home baada ya kilichomtoke huko, kama kicngemtokea bac acngerudi, so hana imani nae japo amesema amemsamehe ili watoto waite dady hapo ndani.
siku zote ktk mahusiano mtu hujirudi baada ya kugundua kuwa alikuwa anafanya kosa na si kama mnavyofikiria huyu jamaa amepata funzo kubwa sana maishani ndio maana amemrudia mkewe na msidhani kama alichofanya huyu mke ni sawa, hapana yaani hapa wametengeneza tatizo kubwa sana ambalo mwisho wake si mzuri
 
Kama bado anampenda mme wake asiongee chochote maana wanaume sio wavumilivu kama wanawake.
Daah mbona maisha ya ndoa yako namna hii jamani ..kasheshe kasheshe..
Na huyo mwanaume nae asingegundua maovu ya huyo mwanamke mdogo ni kwamba wasingeachana ..?
Mwambie asilogwe akasema labda wakati anatubu dhambi zake nafsi ikiwa inakaribia kuachana na mwili

Same same desease
 
siku zote ktk mahusiano mtu hujirudi baada ya kugundua kuwa alikuwa anafanya kosa na si kama mnavyofikiria huyu jamaa amepata funzo kubwa sana maishani ndio maana amemrudia mkewe na msidhani kama alichofanya huyu mke ni sawa, hapana yaani hapa wametengeneza tatizo kubwa sana ambalo mwisho wake si mzuri


Ur a great thinker mkuu
 
samahani kaka umeoa?.....ukatili huwa mnauanzasha nyie sie tunafanya kumalizia tu, imagine mume wako mpenzi umezaa nae watoto wawili wazuri anakuja kukutelekeza wewe na watoto bila huruma, unamuomba mkae chini akueleze bac tatizo limetokea wapi ili m solve mrudie ndoa yenu tamu inakuwa ugomvi na akitoka hapo harudi home week nzima, na akija ni anachukua nguo wenye begi za kurudi kwa hawara...wewe wewe wacha kabisa....mkilianzisha mjue kulimalizia....hiyi nyumba aliyonjengea hawara na biznec kubwa aliyomfungulia ambayo niliishuhudia mie pia, nilifanya kwenda hapo kumjua huyo hawara mwenye kumtesa rafiki yangu kihivyo, vyote hivyo angewekeza kwenye familia yake mambo yangekuwa matamu zaid i kuliko majuto anayoyapata sasa hivi.

Wanalete ugomvi wa mawe wakati wanaishi kwenye nyumba ya vioo. Ataisoma tu HKUNA KUMWAMBIA. Nyumba ndogo isingeharibu angerudi huyo kuomba msamaha?
 
Kabla sijachangia..... Nyamayao hii ni true story au changamsha jamvi?
 
siku zote ktk mahusiano mtu hujirudi baada ya kugundua kuwa alikuwa anafanya kosa na si kama mnavyofikiria huyu jamaa amepata funzo kubwa sana maishani ndio maana amemrudia mkewe na msidhani kama alichofanya huyu mke ni sawa, hapana yaani hapa wametengeneza tatizo kubwa sana ambalo mwisho wake si mzuri

aanzae mmalize
 
Back
Top Bottom