Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,443
113,452
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, na katika uchaguzi uliopita, wasio wa kijani waliungwa mkono na Watanzania zaidi ya milioni 6, na kuna wabunge 145 wasio wa kijani, na kwa upande wa Zanzibar na Pembe kwa mujibu wa matokeo halali ya NEC, wasio wa kijani ndio wengi kuliko kura zote za kijani!, hivyo wote hawa ni Watanzania wenye haki sawa licha ya kutofautiana rangi!. Kauli hii ndio ukweli wenyewe wa uchaguzi wa 2020!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 28 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, by jumping ships, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao hawata jump ship na ku abandon, hawa watang'ang'ania meli yao, kwa kujishika kwenye milingoti, huku wakijiangalia na watazama na meli yao au jahazi lao na kufa kishujaa na watatamkwa ni mashujaa waliokufa kishujaa kuifia meli yao!. Hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, waka abandon meli yao na ku jump ships hivyo kubaki hai na kusurvive na 'mashujaa' wafu, waliokubali kufa huku wanajiona kwa kuifia meli yao, nani ni muhimu zaidi?. This is debatable!

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba

2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.

Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.
Hakutakuwa na chama kimoja, wapinzani watakuwepo ila sio hao vibaraka wa wakoloni mambo leo, waende huko wakatumike vizuri zaidi lakini sio kwa kodi zetu.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Jimbo gani brother, vipi wewe huombii michango!
 
Kwa heri konyagi aka ...faru dume. Tulikupenda lakini ukajidhalilisha Siku ya mwisho mjini Dodoma.
Utakumbukwa kwa kuleta taharuki na fujo, maandamano na vifo. Matusi na kejeri.
Tanzania itapumua sasa.
Tanzania ya hapa kazi tu , imezaliwa.
Kazi itakuwa ni kipimo cha utu.
Midomo ya matusi bye bye.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Mayalla usibweteke na shamrashamra za kupanga zilizofanyika bungeni leo sivyo mambo yalivyo mtaani.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Hiyo ni kweli kwa kuwa watarudi kutegemea maelezo toka juu. Hiyo ya uchaguzi wa Free and Fair ingekuwa ni kweli Wapinzani wengi tu wangerudi. Ila kwa style tuliyoiona kwenye local government elections...... Tutegemee kijani tupu pamoja na wateule wachache kama vile Mbatia na team yake.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali nikuulize swali moja. Naomba ujibu tafadhali. Hivi ikitokea kwamba wabunge wore watakaorudi ni wa kijani je hili litakuwa jambo la kushangilia au kusikitisha?
Paska
 
Watapataje mia chini ya mia, ina maana Mbatia wamemuingiza chaka, si nasikia wamemwahidi viti 30 kama shukurani ya kuunga mkono juhudi na kusaidia kuiua CHADEMA.
 
Back
Top Bottom