Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,476
- 37,750
Yaani viongozi wa serikali wakijazana huko bila sababu tuunite as one?Nimenote kwenye hili la mafuriko na maporomoko Katesh, japo Chadema kama chama, CHADEMA yatuma salamu za rambirambi kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha maafa huko Hanang lakini viongozi wake huku mitandaoni ni ukosoaji la lawama kwa kwenda mbele
kwa kukosoa kila kinachofanyika!. CHADEMA, watu wa Hanang wanahitaji misaada sio lawama zenu
Mkuu sinza pazuri,
Naunga mkono hoja, kwenye majanga ya Kitaifa, lets stand united as one, kushikana mikono kusaidia!.
Kwenye majanga ya Kitaifa kama hili la Katesh, let's stand as one, tushikane mikono kusaidia!.
P