Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,454
Bashite alikuwa na power kuliko polepole kwa kuwa alikuwa mtoto pendwa kwa Magufuli.Hvi bashite ni wapi amewahi kua na nguvu ndani ya chama na serikali kumzidi polepole, au unaongelea ulopokaji?
Ukirudi power za kimajukumu,nafasi ya Bashite ya Ukuu wa Mikoa ni powerful kuliko ya Uenezi wa Chama.