Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,803
Watu wa system Walimpa kwa sababu walijua watapata fursa ya kupiga wakijua kuwa kichaa hatojua,kibao kikawageukia wakaja na plan Bnimeuliza kama walijua ni kichaa kwa nini wampe kiti kile?
Watu wa system Walimpa kwa sababu walijua watapata fursa ya kupiga wakijua kuwa kichaa hatojua,kibao kikawageukia wakaja na plan Bnimeuliza kama walijua ni kichaa kwa nini wampe kiti kile?
Kama hukuweza kuuona ukichaa wake huenda na wewe ni kichaaKama walimjua kichaa why wamkabidhi kile kiti? Kinachoendelea sasa wapigaji wanatuandaa kisaikolojia tujue jamaa hakua sawa kwa kila kitu ili waendelee na mambo yao ya upigaji ambayo jamaa alikua kikwazo kikubwa.
Huyo TV na Radio yake iliwahi kufungiwa kwa kudaiwa malimbikizo makubwa ya kodi ambayo alikuwa halipi kwa makusudi. Hivyo hawezi kumpenda JPM na kwa sababu JPM hayupo ndio maana sasa anamshambulia.Kama walimjua kichaa why wamkabidhi kile kiti? Kinachoendelea sasa wapigaji wanatuandaa kisaikolojia tujue jamaa hakua sawa kwa kila kitu ili waendelee na mambo yao ya upigaji ambayo jamaa alikua kikwazo kikubwa.
Jambazi sugu? Uko na mahisia kama wa Kike.Yeye mwenyewe alikuwa zaidi ya mpigaji, jambazi sugu baba wa Sabaya na Makonda.... mwezi mchanga org huyo anajulikana, ni vile kichaa chake kilikuwa kinadhibitika hivyo kuna kipindi anakuwa poa na akicharuka mnaokota maiti kwenye viroba.
Media zake ziliifanyia kampeni CCM bure kwa makubaliano ya kupata upendeleo wa kodi lakini wakamchenjia kama ilivyotokea kwa Shigongo,CCM wachafu sanaHuyo TV na Radio yake iliwahi kufungiwa kwa kudaiwa malimbikizo makubwa ya kodi ambayi alikuwa halipi kwa nakusudi. Hivyo hawezi kumpenda JPM na kwa sababu JPM hayupo ndio maana sasa anamshambulia.
Aeleze kwanza kama yeye ni mzalendo kuliko JPM kwa nini awamu ya nne alikuwa halipi kodi?
Watu wanaumwa na kupona, kwenda specialist hospital haimaanishi mtu hawezi kupona na kufanya kazi fulani.
IQ level...below averageJambazi sugu? Uko na mahisia kama wa Kike.
Vichaa wapo kila mahali mkuu, hata CHADEMA hawajawahi kujenga shule, zahanati, hospitali wala barabara lakini siku moja wanataka washike dola. Huu ni ukichaa pia. Anyway mwache mzee wa watu usitumie nguvu nyingi kuthibitisha uongo sio sawa. Kama nyie mlikuwa mnamchukia mimi nilikuwa nampenda sana.
Hao IQ zao ni below average ivyo usitumie nguvu kubwa mkuu,twende nao taratibuKwahiyo mashule, zahanati, hospitali na mabarabara yanayojengwa nchini ni ccm inajenga? Una akili timamu kweli? Inahitaji rocket science kujua kwamba miundombini hhii inajengwa kutokana na kodi tunaxolipa watanzania?
Umepatia sana. Nchi hii watu wanaangalia fursa ya upigaji tu. Rais akiwa fyatu wanakanyagana kuwa wehu zaidi kufikia fursa kuu za ulaji.Watu wa system Walimpa kwa sababu walijua watapata fursa ya kupiga wakijua kuwa kichaa hatojua,kibao kikawageukia wakaja na plan B
Ukipima IQ yako utakuta iko below average,unahitaji kuhurumiwa sanaHuyu mzee nazani akili hana na ni majeruhi wa siasa na hii ni shida ya wanasiasa wa sasa wanapima msimamo wa mama samia ili wamchokonoe vizuri. Hawa wazee waliokula bata zama zao zilishapita na sio wakuchekewa hata kidogo wanataka kuvuruga amani tuu na kauli zisizo na staha hata kidogo.
Mwendawazimu 😂😂😂😂".Ndio Maana Nilipotoka Pale Nikaona Nitafute Waziri Ambaye Atakua Ni KICHAA KICHAA Kama Mimi." - John Pombe Magufuli (4/9/2018)
Nahisi nimeelewa leo
This very strange world.
Mwaka 2016 nilizozana na mzee wangu mmoja aliyekuwa na wadhfa mzito serikalini. Alinisimulia habari ya mama ya Jiwe kuwa, mara baada ya uchaguzi Oktoba 2015, mama huyo alipigiwa simu na mmoja wa ndugu wa Jiwe aliyemtaarifu kuwa mwanawe JPM ameshinda uchaguzi na hivyo kuwa Rais wa JMT. Akasema mama aliduwaa kwa muda halafu akajibu kwa mshangao "haa, wamempa John uRais? Wanamfahamu lakini?". Kisha akaeleza kwa kifupi matatizo yake ya "stability".
Sikukubaliana na hii habari. Niliiona kama "imetanuliwa" - a stretch. Nilishawahi kufanya kazi Ujenzi JPM akiwa Naibu Waziri. Alikuwa msumbufu sana asiyetaka kufuata taratibu wala taaluma. Akibanwa kwenye masuala ya kitaaluma, sheria na taratibu alikuwa akikimbilia kusimamisha watu kazi. Lakini haikunijia akilini kwamba hakuwa "sawa" kichwani. Baadaye nilikuwa nikisikia madai ya tatizo la "stability" ya jamaa yakisemwa mara kwa mara.
Sasa baada ya hii habari ya Diallo nimeondoa chembe chembe zote za mashaka. No benefit of doubt at all. Nchi ilikuwa na kiongozi wa hatari sana. Majuzi katika mahojiano fulani, Prof. Asad (former CAG) alihitimisha maoni yake kwa kusema JPM hakuwa na nia nzuri kwa nchi hii. Nakubali.
Kama CCM watafanikiwa kuendelea kushikilia ukiritimba wa uRais wa JMT kibabe, basi liwe ni suala la dharura kabisa kuwabana wahakikishe utaratibu wao wa kupitisha mgombea uRais unatuhakikishia tunakuwa na Rais mzima kweli kweli. Tunapohangaika na katiba mpya na tume huru tusije tukajisahau muda ukapita bila maelewano halafu tukapata janga lingine.
Mwenzio kaomba msamaha mr IQ haya nenda na IQ zako sasaUkipima IQ yako utakuta iko below average,unahitaji kuhurumiwa sana
Ni hivi mkuu, waliotegemea kuwa ni kichaa walijua wataweza ku mcontrol kirahisi kumbe mambo yakawa ndivyo sivyo ikala kwao.Kama walimjua kichaa why wamkabidhi kile kiti? Kinachoendelea sasa wapigaji wanatuandaa kisaikolojia tujue jamaa hakua sawa kwa kila kitu ili waendelee na mambo yao ya upigaji ambayo jamaa alikua kikwazo kikubwa.
Yule bwana hata mama Janeth anakiri hadharani kuwa hakuwa na tofauti na akina Deo Kisandu
Mfuate huko jehanamVichaa wapo kila mahali mkuu, hata CHADEMA hawajawahi kujenga shule, zahanati, hospitali wala barabara lakini siku moja wanataka washike dola. Huu ni ukichaa pia. Anyway mwache mzee wa watu usitumie nguvu nyingi kuthibitisha uongo sio sawa. Kama nyie mlikuwa mnamchukia mimi nilikuwa nampenda sana.