Japhet Justine, Mkurugenzi mkuu wa benki mdogo kuwahi kutokea Tanzania!

Kavunja Records? Mtoa mada mentally ur sick and suffering hysteria.. Records ya nn kavunja? May be ndio ww mwenyewe umejipost hapa kutafuta cheap popularity.. Shit..!! What the hell?
 
Mimi sina wivu maana hata mimi nina mafanikio yangu ambayo wewe huyajui, lakini mtu hawezi kupongezwa sababu ya umri mdogo tu. Hata mimi nikitaka sifa, nitaweka vyeti vyangu hapa ambavyo vina zaidi ya A 30! Kumbe kitu kizuri zaidi ni kuonyesha hizo A thelathin zimelisaidia nini taifa. Kwahiyo mimi siwezi kumuonea wivu huyo jamaa, labda C students ndo wataona maajabu na labda watakuwa na wivu.
Hizo A zako 30 zimekusaidia nini sasa?? Unakuta huyo BOSS hakuwa na hizo A30 bt katoboa...wacha umaandazi
 
Hii nchi ina mambo ya kipuuzi...benki ya wanawake?
Kwanini?, kivipi na ili iweje?

Na wanawake wajinga wanafurahia jambo hili, is what you call equality?

Hii itazidi kutengeneza gap between men and women. Kesho kutwa itaanzishwa barabara ya wanawake from Ubungo to Argentina. Awkward...!
Wanawake wote wanaonizunguka sijawahi ona hata mmoja mwenye Akaunti "Benki ya Wanawake".

Huenda ina wateja wasiojulikana.
 
Mm Nauliza Tu!, Hivi Kuna Benk Ya Wanaume?! Hiyo Benk Ya Wanawake Inachangiwa Na Wanawake Tu? Je Wahudumu Wake Wote Ni Wanawake Tu? Kwann CEO Ni Mwanaume Badala Ya Mwanamke? Nina Maswali Mengi Ngoja Nikaushe Ila Ahsante Mungu Kuniumba Mwanaume!
 
Naona dogo anazidi toboa amekula ukurugenzi ukuu benki ya kilimo

JAPHET JUSTINE, Acting Managing Director of Tanzania Agricultural Development Bank (TADB). Mr. Justine is a proficient banker with wide experience in development finance, leading, managing and transforming retail banking at national and international levels.
Prior to this appointment, Mr. Justine was serving as the Managing Director of Tanzania Women’s Bank (TWB) Plc.. Prior to that, Mr. Justine served at various senior management positions with BancABC and NMB Plc. At BancABC, he was the Regional Head Partnership and Distribution, overseeing operations in 6 countries in Southern and Eastern Africa i.e. Zambia, Zimbabwe, Tanzania, Botswana, Mozambique and Rwanda. Within a period of 7 years at NMB, Mr. Justine career rose from Financial Analyst to Head of Branches, Mobile Banking and ATM Business. His career rise in Banking Sector underscores his widened strategic and leadership skills.
Mr. Justine’s achievements during his banking experience have been commendable and include: at TWB in first 6 months, he managed to increase deposit from TZS 12.2 B to TZS 20.1B, reduced the Non-Performing Loans from 60% down to 43%, increased assets growth of 3% and increased revenue up by 56%. At BancABC, he supervised the merging and integration of BancABC Zambia and Finance in Zambia while at NMB Plc he was instrumental at turning around NMB Branch Performance while optimizing on the digital channels. He is also credited with leading the change process for the roll out of a new core banking and strengthening branch leadership at NMB.
He is an alumnus of University of Dar es salaam where he attained his Bachelor of Commerce in Accounting with Honors. He also holds a Masters of Philosophy in Development Finance from the University of Stellenbosch Business School in Cape Town, South Africa.
With the recently launched Agricultural Sector Development Plan II (ASDP II), the National Development Plans for Industrialization as well as the Development Vision 2025, TADB is integral to the nation’s success. Mr. Justine’s wide experience, expertise, technical know-how and skills in Development Finance are instrumental in fulfilling TADB’s roles as an apex national-level bank to ensure delivery of credit facilities for development of agriculture in Tanzania.
 
Japhet Justine kwa mara nyingine tena amevunja rekodi za nchi hii baada ya kuteuliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa benki ya wanawake (TWB)...
Kiumri, ni kijana mdogo kabisa ( his age is around 34 yrs) kuwahi kushika cheo cha juu kama hicho katika sekta ya benki hapa nchini.
Ni kijana mdogo kiumri ila kichwani yuko very very smart...
Alimaliza shahada yake ya Bcom pale UDSM mwaka 2008, baadaye akafanya kazi ya uhasibu British council kabla ya kuhamia benki ya NMB. Huko nako alifanya vyema mpaka akapanda cheo na kufikia hatua ya kuongoza idara kubwa ya benki hiyo ya NMB.
Baada ya hapo pia alifanya kazi na benki ya ABC katika cheo kikubwa kabisa akiongoza kanda ya Mara....
Taarifa zinaonesha kuwa amepata pia mafunzo kwa ngazi ya masters nchini Afrika kusini.

View attachment 526837 View attachment 526838

Kabla ya Justine kuvunja rekodi hii, taarifa (nilizonazo) zinaonesha kuwa Patrik Schoeneborn ndiye alikuwa mkurugenzi mkuu mdogo kuliko wote hapa nchini, akiwa ni raia wa Ujerumani na mkurugenzi mkuu wa benki ya Access kabla ya kurudishwa kwao Ujerumani kushika nyadhifa za juu kwenye group!


View attachment 526839


Tunamtakia utendaji mwema kijana mwenzetu Justine katika kuingoza benki ya wanawake!
Dogo mbona ameshazeeka sasa?
 
Back
Top Bottom