Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 4,819
- 8,884
jidanganye ukienda shuke ukatike mikono, uwe kipofu au kilema chochote halafu uendelee kuwa ceo.. labda kampuni iwe yako au ya baba yako
point yangu ni miaka 34 sio mtoto. kina ngowi hawajafika hiyo wana kampuni zao za mabilion..
Mkuu nakubaliana na wewe. lakini kama wenzangu walivyosema. Kila binadamu ana fungu lake. Ndo maana Macron amekuwa Rais wa Ufaransa ana miaka 39 wakati Trump amekuwa Rais akiwa na miaka 70.
Narudia, kila mtu ana fungu lake na amepangiwa jinsi atakavyofanikiwa. Yeye kuwa CEO na miaka 34 unaona ni mzee....wengine wanaona ni inspiration. In all tusilinganishe maisha. Kila mtu ana safari yake. Mafanikio hayana umri.