BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,313
Ukweli mchung japo naona baadh ya watu wanakutolea mapovu.miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..
hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...
diamond miaka 28 utajiri wa bilion...
kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta