Japhet Justine, Mkurugenzi mkuu wa benki mdogo kuwahi kutokea Tanzania!

miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..

hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...

diamond miaka 28 utajiri wa bilion...

kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Ukweli mchung japo naona baadh ya watu wanakutolea mapovu.
 
miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..

hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...

diamond miaka 28 utajiri wa bilion...

kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Yaan siku zote ww huwezi kuwa na mawazo positive mkuu
 
miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..

hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...

diamond miaka 28 utajiri wa bilion...

kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Kuna kitu Kinaitwa Talents Duniani.Unakijua?Kuna kitu kinaitwa shule Unakijua vizuri?
Always Talents pays..Talents Ni Gift..Wachache wanazijua Talents Zao na kuzitumia.
Akuna kinacholipa Duniani Zaidi Ya talents.
Usimfananishe Jamaa na Diamond au samatha.Utakuwa unakosea sana
 
Japhet Justine yuko vizuri sana na ataitoa ICU hiyo bank kile ni kichwa na hata ishia hapo graph itaendelea kupanda zaidi MUNGU azidi kumbariki
 
Kwahiyo ulikuwa unashauri wamchukue Samata ndio awe mkurugenzi?
Dunia hatuwezi kuwa sawa kipindi samata atastaafu huyu atafanya kazi hadi umri wa Ndulu ili hiyo pesa ya samata iwe salama kwa nini kila wakati tunafananisha maisha badala ya kukubali kuwa kila mtu anafungu lake (naanza kuwachukia motivational speakers maana wanajza watu akili hewa)
 
miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..

hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...

diamond miaka 28 utajiri wa bilion...

kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
Kwa hiyo wote tuingie uwanjani tucheze? Huyo Samatta siku akivunjika mguu itakuwa imebaki stori ila aliyeenda shule hata akatike viungo vyote bado anamata
 
miaka 34 ceo mshahara milion 15... samatta miaka 20 tp mazembe mshahara milion 20.. na baadae genk mshahara kwa wiki hatari..

hasheem miaka 20 nba mshahara milion 200...

diamond miaka 28 utajiri wa bilion...

kweli shule zinachelewesha maisha.. miaka 34 eti ni mdogo wakati umri wa kustaafu huo akifika samatta
ndio maana tajiri na mmilki wa fesibuku "maki zubagi" machale yalimcheza mapema.

ila juzi kati ndio kapata degree yake kiubweteeeee....hii imekuja baada ya kumeki mkwanja wa kutosha ktk biashara zake za mitandao ya kijamii.
08c20e06eface0f04351cd5fa6e171d2.jpg
 
Tunakaririshwa Vibaya.

Dunia hatuwezi kuwa sawa kipindi samata atastaafu huyu atafanya kazi hadi umri wa Ndulu ili hiyo pesa ya samata iwe salama kwa nini kila wakati tunafananisha maisha badala ya kukubali kuwa kila mtu anafungu lake (naanza kuwachukia motivational speakers maana wanajza watu akili hewa)
 
Kwa hiyo wote tuingie uwanjani tucheze? Huyo Samatta siku akivunjika mguu itakuwa imebaki stori ila aliyeenda shule hata akatike viungo vyote bado anamata

jidanganye ukienda shuke ukatike mikono, uwe kipofu au kilema chochote halafu uendelee kuwa ceo.. labda kampuni iwe yako au ya baba yako

point yangu ni miaka 34 sio mtoto. kina ngowi hawajafika hiyo wana kampuni zao za mabilion..
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom