MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,757
- 48,403
Sisi kukusanya za hapo Kariakoo tuu hatuwezi.
Jameni umeniacha hoi kwa kicheko hapa nilipo....haya bana, ila hawa Wajapani hawafai kuwa wanarusha vifaa bila kushauriana na nchi zingine ulimwenguni, maana anga yetu sote.
Hata kama nia yao nzuri, lakini waombe ruhusa kwanza, sio kuibuka eti leo wanasafisha anga, kesho kingine, mwishowe tutaona vitu vinatuangukia kutoka angani.