Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,204
- 7,892
Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe amekuwa akifanya kazi na Rais Donald Trump ili kusaidia kusawazisha biashara ya upande mmoja na Japan.
Huu ni baadhi ya uwekezaji wanaofanya Japan katika Nchi ya Marekani, Trump kasema huo ni mwanzo tu!
Hivi kwa nini mchina alipoguswa kuhusu hili aling'aka sana? Na hadi imepelekea trade war vs US.
Huu ni baadhi ya uwekezaji wanaofanya Japan katika Nchi ya Marekani, Trump kasema huo ni mwanzo tu!
Hivi kwa nini mchina alipoguswa kuhusu hili aling'aka sana? Na hadi imepelekea trade war vs US.