LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,124
- 11,113
Baada ya kumalizika kwa WWII na Japan kushindwa vita baada ya kuangushwa kwa mabomu ya Atomic kule Hiroshima na Nagasaki Japan aliamua kusurender na kuachana kabisa na vita ili ajenge uchumi wake ambao uliporomoka kwa kiasi kikubwa kutokana na kupigana vita kwa muda mrefu na mataifa mabalimbali makubwa na vita nyingi iliibuka mahindi hadi kuwa tishio la dunia
Historia inaeleza kuwa Japan ilikuwa ni tishio kubwa enzi hizo, Historia inaeleza kuwa Japan ilikuwa imeshapiga hatua kubwa sana kijeshi kipindi hicho huku ikijitengenezea zana zake yenyewe bila kutegemea taifa lolote lile
Pia historia inaeleza kuwa Japan ndio taifa pekee ambalo ilikaribia kuingia ndni ya ardhi ya marekani kijeshi baada ya lile shambulio kali la pearl habour attack ambalo lilipoteza uhai zaidi ya raia 2000 wa marekani katika lile shambulio la ndege za japan kwa mda mfupi tu
Baada ya japan kufikia hatua kubwa za kutaka kuiangamiza marekani kivita ilibidi Raisi wa marekani kipindi hicho asaini kwa dharura kuangushwa kwa mabomu ya nuclear japan ili kumshinikiza Japan kuachana na ile vita maana Japan alishakuwa sugu kivita yaani alikuwa hapigiki kirahisi kivita
Historia inaeleza kuwa baada ya kuangushwa kwa yale mabobu kule hiroshima na Nagasaki Japan iliamua Kuachana na vita na kuamuru wanajeshi wake wote warudishwe nyumbani na katika mkataba wa kusurender japan aliamuriwa kuwa apunguze jeshi lake ili kumzuia kuja kuanzisha vita vingine na alimuriwa amuache Mmarekani ndio awe mlinzi wake mkuu kijeshi miaka yote
Baada ya Japan kukubali hiyo janja ya Mmarekani hivi leo mwaka 2017 Japan huko alipo najua sasa anajuta kwa nini alikubali kufanya upuuzi kama ule wa kumruhusu mmarekani ndio awe mshirika wake mkuu katika maswala ya ulinzi kwani kilichotokea ni kuwa Marekani badala ya kumfanya japan awe imara kijeshi mwishowe japan sasa imekuwa legevu na kila mitambo ya ulinzi na mbinu imekuwa ikimtegemea Mmarekani
Japan ilikuwa sio taifa la kuja kutishiwa na watoto wa juzi hawa akina kim jon un kama ingejiwekea misingi yake yenyewe ya kiteknolojia ya kujilinda kijeshi bila kutegemea msaada wa Mmarekani. Japan ilitakiwa iwe tishio na hakuna wa kumsogelea pale sio Mchina,mkorea wala Mmarekani.
Leo hii imefikia hatua mkorea makombora yake yote anayatestia japan kwasababu ashajua udhaifu wa japan ulivyo. Sasa ivi mjapan amekuwa akimtajirisha mmarekani kwa kununua mitambo mikubwa ya ghatama ya kujilinda na makombora kutoka korea na cha kusikitisha hiyo mitambo bado imeshindwa kutungua makombora yanayotoka korea
Japan sasa anatishiwa nyau na kim ?
Kweli mmarekani sio mtu kabisa
Historia inaeleza kuwa Japan ilikuwa ni tishio kubwa enzi hizo, Historia inaeleza kuwa Japan ilikuwa imeshapiga hatua kubwa sana kijeshi kipindi hicho huku ikijitengenezea zana zake yenyewe bila kutegemea taifa lolote lile
Pia historia inaeleza kuwa Japan ndio taifa pekee ambalo ilikaribia kuingia ndni ya ardhi ya marekani kijeshi baada ya lile shambulio kali la pearl habour attack ambalo lilipoteza uhai zaidi ya raia 2000 wa marekani katika lile shambulio la ndege za japan kwa mda mfupi tu
Baada ya japan kufikia hatua kubwa za kutaka kuiangamiza marekani kivita ilibidi Raisi wa marekani kipindi hicho asaini kwa dharura kuangushwa kwa mabomu ya nuclear japan ili kumshinikiza Japan kuachana na ile vita maana Japan alishakuwa sugu kivita yaani alikuwa hapigiki kirahisi kivita
Historia inaeleza kuwa baada ya kuangushwa kwa yale mabobu kule hiroshima na Nagasaki Japan iliamua Kuachana na vita na kuamuru wanajeshi wake wote warudishwe nyumbani na katika mkataba wa kusurender japan aliamuriwa kuwa apunguze jeshi lake ili kumzuia kuja kuanzisha vita vingine na alimuriwa amuache Mmarekani ndio awe mlinzi wake mkuu kijeshi miaka yote
Baada ya Japan kukubali hiyo janja ya Mmarekani hivi leo mwaka 2017 Japan huko alipo najua sasa anajuta kwa nini alikubali kufanya upuuzi kama ule wa kumruhusu mmarekani ndio awe mshirika wake mkuu katika maswala ya ulinzi kwani kilichotokea ni kuwa Marekani badala ya kumfanya japan awe imara kijeshi mwishowe japan sasa imekuwa legevu na kila mitambo ya ulinzi na mbinu imekuwa ikimtegemea Mmarekani
Japan ilikuwa sio taifa la kuja kutishiwa na watoto wa juzi hawa akina kim jon un kama ingejiwekea misingi yake yenyewe ya kiteknolojia ya kujilinda kijeshi bila kutegemea msaada wa Mmarekani. Japan ilitakiwa iwe tishio na hakuna wa kumsogelea pale sio Mchina,mkorea wala Mmarekani.
Leo hii imefikia hatua mkorea makombora yake yote anayatestia japan kwasababu ashajua udhaifu wa japan ulivyo. Sasa ivi mjapan amekuwa akimtajirisha mmarekani kwa kununua mitambo mikubwa ya ghatama ya kujilinda na makombora kutoka korea na cha kusikitisha hiyo mitambo bado imeshindwa kutungua makombora yanayotoka korea
Japan sasa anatishiwa nyau na kim ?
Kweli mmarekani sio mtu kabisa