BUBERWA D.
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 2,293
- 1,170
Mayala kazi yako huwa unaimudu vema kabisa.Watch Clouds 360 Degrees Live , January Makamba yuko Live.
January Makamba, yuko Very Iteligent, Humble, Down-to-earth, kwa maoni yangu, this fellow Can Make The Best President, this country can ever have, but very unfortunately, imekuwa ni mazoea kwa nchi yetu kati ya wote wanaogombea kupitia CCM ( Rais wa Tanzania Atatoka CCM tuu), siku zote wanaoshinda they're not the best ukimuondoa Nyerere.
Kwenye batch ya Mwinyi, the best hakuwa Mwinyi.
Kwenye batch ya Mkapa, the best alikuwa Lowassa, kwenye batch ya Kikwete, the best was Dr. Salim.
Kwenye batch ya Magufuli naomba tusiseme, ili kuondoa notions kuwa we might be having a president who is not the best president we could have, ila kwenye wale zaidi ya 40 aliochukua nao fomu CCM, naamini hata Magufuli mwenyewe anajua, ila anaeupata urais huyo ndiye aliyepangiwa na Mungu kuwa rais wa Tanzania.
Hili la rais kupangwa na Mungu, niliwahi kulizungumza humu
Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni... - JamiiForums
Kuna kitu niliwahi kusema kuhusu mtu huyu
January Makamba Top The List of Most Interactive Politician in TZ!. - JamiiForums
P