Umeongea mwenyewe, unacheka mwenyewe na hizo emoj, we sio mzima itakuwa,Subiri Stigler ikamalike ndio utapata umeme wa kudumu na mwingine wa kuuza nje ya nchi
ukute makusanyo kwa mwezi ni 2T na matumizi kwa mwezi ni 1.9T, hii nchi anything is possible...3.2 million customers & 2 trillions per month. Its about time that such achievements should reflect the quality of services offered including further expansion to accommodate more newer customers.
habari yenyewe ya mwezi September kabla wahindi hawajampelekea dili la kuuza majenereta saizi tuko NovemberKweli zama zimebadilika... yaani umeme unavyokatikakatika hivi na bado watu mnapongezana... Hii habari enzi zile ingehusu kutumbuliwa
Chezea siasa wewe!Aisee! Yeye si ndio alisema amri hizi ziliwafanya Tanesco washindwe kufanya ukarabati ambao sasa hivi unafanyika na ndio sababu ya umeme kukatika hovyo?!! Ama kweli mwanasiasa akikwambia sasa hivi ni usiku toka nje kahakikishe.
wanakusany trillion 1.8 to 2 trioni kwa mwaka siyo kwa mweziKati ya hizo trillion 2, ni ngapi zinalipwa Songas, na kiasi gani kinatumika kununulia gas? Si ajabu hata mishahara ya watumishi ni ruzuku kutoka Serikalini.
Loh! Mithili ya kinyonga kubadilika rangi kufuatana na mazingira.Aisee! Yeye si ndio alisema amri hizi ziliwafanya Tanesco washindwe kufanya ukarabati ambao sasa hivi unafanyika na ndio sababu ya umeme kukatika hovyo?!! Ama kweli mwanasiasa akikwambia sasa hivi ni usiku toka nje kahakikishe.