January Makamba, uliteuliwa ili usimamie ukatwaji wa umeme?

Kuna hitilafu imetokea maeneo hayo wataalamu wetu wanaifanyia kazi huduma itarejea mapema asubuhi ya leo
Toka jana saa 5 usiku umeme umekata ubungo mpaka naandika hapa saa 3 asubuhi hakuna umeme nini kipo sasa ambacho kipindi cha Magufuli hakikuwepo? Kwanini umeme uwe tatizo sasa hivi na hasa baada ya January kupewa uwaziri au mnataka afukuzwe kazi?
TANESCO
 
Toka jana saa 5 usiku umeme umekata ubungo mpaka naandika hapa hakuna umeme nini kipo sasa ambacho kipindi cha Magufuli hakikuwepo? Kwanini umeme uwe tatizo sasa hivi na hasa baada ya January kupewa uwaziri au mnataka afukuzwe kazi?
TANESCO
Waziri wa mchongo
 
Toka jana saa 5 usiku umeme umekata ubungo mpaka naandika hapa hakuna umeme nini kipo sasa ambacho kipindi cha Magufuli hakikuwepo? Kwanini umeme uwe tatizo sasa hivi na hasa baada ya January kupewa uwaziri au mnataka afukuzwe kazi?
TANESCO
Tunafanyia kazi eneo husika tumegundua kuna waya ulikatika kwenye laini kubwa, tunawaomba radhi sana
 
Tunafanyia kazi eneo husika tumegundua kuna waya ulikatika kwenye laini kubwa, tunawaomba radhi sana
Yaani nyie waya mnaunga usiku mnaukata asubuhi? Saa hizi mmekata tena umeme ubungo. Nini mnatufanyia TANESCO kama imewashinda mwambie Rais apige mnada shirika tujue sio mali yetu
 
Toka jana saa 5 usiku umeme umekata ubungo mpaka naandika hapa saa 3 asubuhi hakuna umeme nini kipo sasa ambacho kipindi cha Magufuli hakikuwepo? Kwanini umeme uwe tatizo sasa hivi na hasa baada ya January kupewa uwaziri au mnataka afukuzwe kazi?
TANESCO
Rudi kipindi cha Magufuli
 
Nchi ipo gizani waziri anatafuta publicity kwa kuingia mikataba na wahindi, bla bla nyingi utendaji kazi zero. Miezi 4 tangu January ateuliwe umeme umekatika jumla ya siku 28 na masaa 8 mpaka sasa hivi ninanyo andika
 
Nchi ipo gizani waziri anatafuta publicity kwa kuingia mikataba na wahindi, bla bla nyingi utendaji kazi zero. Miezi 4 tangu January ateuliwe umeme umekatika jumla ya siku 28 na masaa 8 mpaka sasa hivi ninanyo andika
Ndio anataka awe raisi wa baadae

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.

Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.

Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?
Itafika hatua hata waasisi wa neno "sukuma gang" na wafuasi wake watammiss Mzee, only time will tell
 
Januari ni laana katika nchi. Toka awepo kwenye hiyo wizara hakuna kitu kimefanikiwa
 
Tatizo la umeme lazima tuangalie chanzo huyu Janauri aulizwe alifanya nini pale TANESCO. Lazima aseme kwanini alivunja bodi ambayo ilikuwa ikifanya vizuri na umeme ulikuwa ukipatikana kila siku
 
Kitu nilichokiona kwa hawa wanasiasa wanatengeneza tatizo ambalo litakua ndiyo njia ya kuombea kura.
 
Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.

Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.

Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?
Kuna mambo mengi yanaendelea nchini yanakera. Watu watakufa na msongo wa mawazo na pressure.
 
Sijui kwa nini watanzania tunapenda kuscapegoat watu. Sasa January kaondoka, umeme umekuwa wa uhakika ghafla?

Tukubali na tuelewe kuwa tuna gap kubwa sana la miundombinu ya umeme kuanzia generation, transmission hadi distribution na solution ni strategic investment ya hela nyingi sana ambazo hatuwezi kuwa nazo kwa mara moja.

JNHPP wanayosema itatatua shida ya umeme haitomaliza shida za transmission na distribution. Na pia kwa ukuaji wa demand hizo 2100MW zitakuwa occupied tayari by in 3 to 4 yrs at most.

Mpaka tuwe na infrastructure ya uhakika ya umeme, tutahamisha lawama kwa mtu hadi mtu mpaka kiama kifike.
 
Back
Top Bottom