January Makamba, uliteuliwa ili usimamie ukatwaji wa umeme?

Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.

Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.

Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?
Nunua jenereta wewe wacha kulialia, ulidhani stock ya majenereta yao madukani ingeondoka vipi kama si kuchukua umeme wao?
 
Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.

Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.

Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000




Jina: DENILSON

Eneo: Dar-es-Salaam

Wilaya: Ubungo

Tatizo: umeme unakatika kila siku bila taarifa

Toka lini: miezi mitatu sasa toka Waziri Makamba akabidhiwe ofisi na yeye ateue bodi yake

Ahsante sana
 
Sio matatizo yako kwrnye kukatika umeme tu,hata vifaa vya kufanyia kazi hawana,kuna jamaa yangu mmoja yuko Mwanza kalipia mita yavLuku tangu mwezi 7/2021 mpaka sasa hajafungiwa,sooni VISHOKA watarudi Tanesco wakati JPM walijifuta wenyewe
 
Sio matatizo yako kwrnye kukatika umeme tu,hata vifaa vya kufanyia kazi hawana,kuna jamaa yangu mmoja yuko Mwanza kalipia mita yavLuku tangu mwezi 7/2021 mpaka sasa hajafungiwa,sooni VISHOKA watarudi Tanesco wakati JPM walijifuta wenyewe
Je amelipia kwa jina gani? Namba ta simu na Wilaya tafadhali
 
Umeme umekuwa shida sana hasa kwa sisi wakazi wa Morogoro wilayani mvomero hakuna siku ambayo umeme haujakatika yaani kutwa nzima tunashinda bila umeme
 
Umeme umekuwa shida sana hasa kwa sisi wakazi wa Morogoro wilayani mvomero hakuna siku ambayo umeme haujakatika yaani kutwa nzima tunashinda bila umeme
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Jina : Edward william
Eneo : Turiani
Wilaya :Mvomero
Tatizo: kukatika kwa umeme mara kwa mara bira taarifa
Toka lini : TUNA wiki takri bani 3 hv kila siku lazima umeme ukate asubu na kurudi jioni ni mara chache sana kupata umeme kwa kutwa nzima
 
Jina : Edward william
Eneo : Turiani
Wilaya :Mvomero
Tatizo: kukatika kwa umeme mara kwa mara bira taarifa
Toka lini : TUNA wiki takri bani 3 hv kila siku lazima umeme ukate asubu na kurudi jioni ni mara chache sana kupata umeme kwa kutwa nzima
Weka namba ya simu tafadhi
 
Jina: DENILSON

Eneo: Dar-es-Salaam

Wilaya: Ubungo

Tatizo: umeme unakatika kila siku bila taarifa

Toka lini: miezi mitatu sasa toka Waziri Makamba akabidhiwe ofisi na yeye ateue bodi yake

Ahsante sana
@TANESCO njoo ujibu hapa
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja

SIMU : 0748550000
Nyie acheni kuwasumbua watanzania kwa kuwakatia umeme hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom